Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana nawe 100 pasenti kwani viashirio vipo tele, kuzidi kwa hali ngumu ya maisha na kufilisika kwa serikali. Lakini hapo kwenye red kwa nini usitumie neno mbadala -- 'uchwara' kama vile RA aliivyoziita siasa anazosimamia swahiba wake?
CCM ina Raisi wa Nchi,ina serikali,ina bunge na ,ina jeshi,ina polisi,ina usalama wa taifa,ina wakuu wa mikoa na wilaya,ina mahakama na tume ya uchaguzi pia ina matajiri wakubwa wenye mitaji mikubwa.Sioni siraha ya kuizika mwaka 2012 its a wishful thinking.
Mkuu mental and spritual things if its inplace,watanganyika hawana utamaduni huo ,ila lolote lawezekana.Subiri uone tutakavyoizika kirahisi ndo utatambua kuwa material/physical things are very inferior to mental and spiritual things!
Loading...
Si kwamba nataka kushindana na yule mgonjwa wetu wa Malaria, ila tu natabiri mwaka huu tutashuhudia mazishi rasmi ya CCM pale Dodoma wakati wa Mkutano wao Mkuu wakati wa chaguzi za ndani za chama hicho cha kifisadi.
Na hapo ndiyo itakuwa mwisho wa JK na siasa zake za hovyo.