Divine...
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 1,641
- 3,174
Ndoto zinaweza kukupata kutokana na mazingira uliyo nayo/ unayo lala
Hiyo sehemu unayolala inaweza ikawa mi nyumba ya mapepo/ majini hivyo yana kuingilia.
Kingine ukute zamani ulikua unapiga punyeto( punyeto maana yake unafanya mapenzi ma majini mahaba hivyo unayapa uhalali wa kukutesa
Kingine inaweza kuwa umefungishwa ndoa za majin mahaba / wanawake wa kipepo ktk ulimwengu wa roho bila ww kujua
Hivyo yana uhalali kabisa ya kukuigilia ktk mwil wako sababu ww ni mke wao halalii.
Kingine hao wanaume walio pita kwako wana maroho machafu ndio maana yanakutesa( spirits).
Sababu kama wew ni bint ukifanya kile kitendo unapokea na mwanaume anatoa
Na Biblia yangu inaniambia ajiunganishae na kahaba wamekua mwil mmoja
Hivyo zile roho zotee alizo kuwa nazo huyo mwenza naww unakua nazo
Mpka hapo umenielewa?
Huna haja ya kupanda ndege uende kwa nabii gani sijui
Mm ninachojua Mungu wangu/ Yesu wangu ni wa wote juhud yako tu ya kuomba itakutoa kwenye shida yako
Mungu hayupo kuwa special kwa grp fulan tu la watu.
Hapana . Mungu hana upendeleo na wala hapokei rushwa.
Umenielewa had hapo?
Hiyo sehemu unayolala inaweza ikawa mi nyumba ya mapepo/ majini hivyo yana kuingilia.
Kingine ukute zamani ulikua unapiga punyeto( punyeto maana yake unafanya mapenzi ma majini mahaba hivyo unayapa uhalali wa kukutesa
Kingine inaweza kuwa umefungishwa ndoa za majin mahaba / wanawake wa kipepo ktk ulimwengu wa roho bila ww kujua
Hivyo yana uhalali kabisa ya kukuigilia ktk mwil wako sababu ww ni mke wao halalii.
Kingine hao wanaume walio pita kwako wana maroho machafu ndio maana yanakutesa( spirits).
Sababu kama wew ni bint ukifanya kile kitendo unapokea na mwanaume anatoa
Na Biblia yangu inaniambia ajiunganishae na kahaba wamekua mwil mmoja
Hivyo zile roho zotee alizo kuwa nazo huyo mwenza naww unakua nazo
Mpka hapo umenielewa?
Huna haja ya kupanda ndege uende kwa nabii gani sijui
Mm ninachojua Mungu wangu/ Yesu wangu ni wa wote juhud yako tu ya kuomba itakutoa kwenye shida yako
Mungu hayupo kuwa special kwa grp fulan tu la watu.
Hapana . Mungu hana upendeleo na wala hapokei rushwa.
Umenielewa had hapo?