Hao 'majasiri kutoka wagombea binafsi' unaowataka wametoka chama gan?
Menu yako iko tayari:
Mtikila, Hamad Rashid, Deo Kisandu.
Wengine wataraijiwa ni:
Zitto, Kafulila, Nape, Shibuda......
endelea kukipigia kura chama chako c.c.m.....siku hizi buku 5 hupati hata unit moja ya luku...sijui kama utaendelea kuandika post ikifika 2016 kwa mwendo huu..
Bila shaka umeamua kujiandikia tu bila hata ya kusoma kile nilichokiandika. Aliyesema ataipigia kura CCM nani?
Kwa hatua waliofikia c.c.m hakuna cha kufikiria mara 2..wameshindwa...bahati mbaya lazima kwenye sanduku la kura lazima uchague c.c.m au upinzania(so far)...kwa hiyo acha unafiki wako wa ki c.c.m
duuu kazi kwei kweli! mimi nazungumzia wagombea binafsi ambao nao watakuwa wapinzani. shida sijui ipo wapi?
Wagombea binafsi hawatakiwi kutoka kwenye chama chochote, hata kama kabla ya kugombea walikuwa CCM, CHADEMA, CUF as long as wanagombea kama wagombea binafsi, ukiritimba na madudu ya vyama hautakuwepo (at least).
Tupe mifano ya hao unaowasema, reference ni muhimu sana ili tuwakome giladi
Usitanie bwana Natania Umesha sema wagombea binafsi, obvious hawatatokea au kugombea kwa mbeleko wa chama chochote, hata kama ni kweli hapatakuwa na ukiritimba wa aina hii iliyopo unayodhani ipo katika political parties, ila tegemea kutakuwa na " ukiritimba wa mtu binafsi" Je,aina hii ya ukurutimba mpya utakuwa nafuu na huu ambao unashirikisha watu wengi? (wanachama)
"Mimi sina Chama"
Hii kauli inakera sana, utamsikia mtu anatoa kauli hiyo na kujinasibisha kama MCHANGIAJI HURU asiye na chama lakini ukitazama comments/threads zake utagundua mtu huyu anaegemea upande fulani wa chama. HUU ni UNAFIKI wa kiwango cha juu kabisa kwa Mwanadamu.
Mwalimu Nyerere (RIP) aliwahi kusema "Neutrality is the high level of irresponsibility, unapokuwa neutral maana yake hutaki kuwajibika"
Desmond Tutu nae akasema "A neutral person in the situations of injustice is always on the side of the oppressor".
Hivyo hawa wanaojitangazia U-Neutral wajitazame!!!!
Bila shaka umeamua kujiandikia tu bila hata ya kusoma kile nilichokiandika. Aliyesema ataipigia kura CCM nani?