mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Kama kweli chadema na ACT waligoma kwenye uchaguz wa wenye vit wa mitaa sababu ya kuminywa kwa haki na demokrasia Basi hata uchaguz mkuu nategemea watagoma
Ila ikitokea wameshirik Basi itakua waligomea uchaguz wa wenyevit wa mitaa sababu haukua na faida kwao
Na Kama ni kweli waligoma sababu uchaguz ulikua wa kibabe na dhulma Basi ili wasiwe wanafk wasusie Tena huu uchaguz sababu hata huu pia Una Mambo wasio yataka ikiwemo tume huru wanayo iimba kila siku kua Sio huru ilihal tume yetu ni huru kwa mujibu wa katiba yetu
Chadema tutegemee nin Mana siku zinaisha na tume ni Ile Ile je mtaingia kwenye uchaguz?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ikitokea wameshirik Basi itakua waligomea uchaguz wa wenyevit wa mitaa sababu haukua na faida kwao
Na Kama ni kweli waligoma sababu uchaguz ulikua wa kibabe na dhulma Basi ili wasiwe wanafk wasusie Tena huu uchaguz sababu hata huu pia Una Mambo wasio yataka ikiwemo tume huru wanayo iimba kila siku kua Sio huru ilihal tume yetu ni huru kwa mujibu wa katiba yetu
Chadema tutegemee nin Mana siku zinaisha na tume ni Ile Ile je mtaingia kwenye uchaguz?
Sent using Jamii Forums mobile app