Pasco umekuwa kipofu!
Ina maana wewe hujui kanuni za bunge?
Bunge lina taratibu zake kupokea taarifa rasmi FULL STOP.
sijaona tatizo kwa naibu spika
Kwani kamanda huyu aliyepigana vita yeye kacheza filamu ngapi mkuu?....Ninasubiri, na nitafurahi na kuona kwamba Bunge letu limefanya haki kama litasimama dakika moja tu, kutoa heshima kwa mpendwa wetu, kamanda, aliyekwenda vitani akakoswa risasi na majeshi ya idd Amini kwa niaba yetu, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya Tanzania (1988-1994) marehemu General Mwita Kyaro... sitaki mlundikano wa watu, sitaki wabunge watoke bungeni... nataka wabunge wasimame dakika moja tu basi!
Tena vinjwa ngumu kama nazi ya mtwara!!kha!Naibu Speaker kaniacha hoi, a minute of silence needs to wait for what??
Hawa CCM hata wakikumbushwa jambo badala ya kushukuru wanakuwa vichwa ngumu
Afadhali hao, ITV ya fisadi Mengi haikuwa na taarifa hiyo ya mpiganaji huyu kabisa, waliniudhi sanaWonders will never end in this country, jana kwenye TBC1 kipindi cha Habari ya saa 2 jioni nilitamani kupasua TV ya nyumbani kwangu nilipoona item ya kwanza ya news ni mazishi ya Kanumba, then Mpiganaji aliyetetea taifa lake kwenye vita dhidi ya Nduli Iddi Amin Dada mwaka 1978-79 na hatimaye kuwa CDF kipindi cha awamu ya Rais Alj H Mwinyi, marehemu Ernest Mwitta Kiaro anakuwa item number 2
Kuzikwa na watu wengi sio tiketi ya kwenda mbinguniAcheni wabunge wafanye kazi tulizowatuma sio kuomboleza vifo vya kila mtu tafadhari!
Ila naamini ni sahihi pale anapotokea mtu maarufu na mwenye mchango mkubwa katika taifa apewe heshima yake.
Angalia umati uliomzika kanumba zaidi ya watu 600 wamepoteza fahamu, jamaa maarufu anadeserve heshima ya bunge.
Acheni wabunge wafanye kazi tulizowatuma sio kuomboleza vifo vya kila mtu tafadhari!
Ila naamini ni sahihi pale anapotokea mtu maarufu na mwenye mchango mkubwa katika taifa apewe heshima yake.
Angalia umati uliomzika kanumba zaidi ya watu 600 wamepoteza fahamu, jamaa maarufu anadeserve heshima ya bunge.
Kwani kamanda huyu aliyepigana vita yeye kacheza filamu ngapi mkuu?
Acheni wabunge wafanye kazi tulizowatuma sio kuomboleza vifo vya kila mtu tafadhari!
Ila naamini ni sahihi pale anapotokea mtu maarufu na mwenye mchango mkubwa katika taifa apewe heshima yake.
Angalia umati uliomzika kanumba zaidi ya watu 600 wamepoteza fahamu, jamaa maarufu anadeserve heshima ya bunge.