adil_abdallah
Member
- Mar 23, 2012
- 62
- 10
- Thread starter
-
- #81
Basi wewe nimeisha kujua kuwa una chuki binafsi na LEMA this is the FACT mbona hujawa na chuki na Livingstone Lusinde Mbng wa Mtera-Dodoma?????
Ukitaka kulinganisha IQ za viongozi katika hili la kuwa nani ni mbunge duuuh mkuu ntakushaaangaaa sana au anzisha kipindi cha video clip kama kile cha Kenya NTV every Friday uone politician wa kenya wanavyoteleana uvivu na huakika hicho kikija hapa nchini utajua wanasiasa wa bongo na hizo IQ nadhani utapata tathimini sahihi kesho ijumaa check hii web site Daily Nation:Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports, Blogs, Photos, Videos*- Home alafu check NTV KENYA download kwa hiyo youtube ni kila ijumaaa utapata Bull's-Eye za kenya na hazina matusi sio kama za kina Lusinde
mie nadhani wewe umepewa uwezo wa kutafakari,ila hujui jinsi ya kutafakari....kama lema alivopewa uwezo ya kuongoza alafu akawa hajui jinsi ya kuongoza!!Wewe ni mzigo kweli ndo huna kitu....nahisi umefundishwa kuandika ila hujapewa upeo wa kutafakari ya kuandika...
:shut-mouth:
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
maji marefu ndie anae stahili???uongozi sio elimu wewe mse...nge.huyo jakayaa mbona udokta wake mweupe tu.hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
Limetumwa hili...hebu tuondolee uchuro wako
maji marefu ndie anae stahili???uongozi sio elimu wewe mse...nge.huyo jakayaa mbona udokta wake mweupe tu.[/QUOTE
kipofu zaidi ni yule alie pewa macho yanayoona alafu akawa haoni...mbona kuna sababu nyingi nimetoa ila unaongelea elimu tu?kwa vile lema hana elimu ndo umesahau sababu zingine?lema hana hekima na busara pia,anakaa anamuongelea mwanaume mwenzake eti kamtia mwanamke mimba..anamuonea wivu batilda kwajili ya lowassa au?
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
mbona mamako na babako hawaendani kwanini usianze kwa kumshauri babako amwache mamako pale tuu ulipopata akili mpaka ikawa vile tena?babako ana elimu gani mbona hukumkataa!!we pilipili usioila inakuwashia nini mbunge wa watu wengine we lipi linahusu au unawashwa na ma**ko!!? kayakalishe huko!!kuwa na heshima na kiongozi wa watu aliyeingia madarakani na kura elfu hamsini na........we ni sawa na kenge tuu! na we chukizo kwa wapiga kura wa arusha.hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
wewe ujinga umeupata upande wa bibi yako,alafu upumbavu umeutoa chadema....adam mtu wa kwanza duniani hakua na elimu ila alikua na hekima...lema hana hekima,alafu wewe kama mtumwa wake unae wekewa mafuta ili ukarushe mawe ndo umekua malaya wa hoja!!!..wewe siasa huiwezi,wewe kaa tu nyumbani uwe una tumwa always dukani na mazzaa!!mbona mamako na babako hawaendani kwanini usianze kwa kumshauri babako amwache mamako pale tuu ulipopata akili mpaka ikawa vile tena?babako ana elimu gani mbona hukumkataa!!we pilipili usioila inakuwashia nini mbunge wa watu wengine we lipi linahusu au unawashwa na ma**ko!!? kayakalishe huko!!kuwa na heshima na kiongozi wa watu aliyeingia madarakani na kura elfu hamsini na........we ni sawa na kenge tuu! na we chukizo kwa wapiga kura wa arusha.
ni kenge mdogo sana hata hunielezi kitu kwani we mtumwa wa mafisadi na pia ni unakurupuka tuu huna jipya kajipange kwanza ndio urudi endelea kuwatumikia mafisadi na huku ukijua ndugu zako wanateseka we unaridhishwa na hivo viposho unavopewa kati na Mh LEMA na wewe nani mwenye busara!!?kikwete ndio anamjua Mh LEMA ni nani sio kibaraka wewe kakojoe ulale wewe haya maji marefu huyawezi ngoma ya wakubwa watoto kaeni pembeni.pusi wewe!!wewe ujinga umeupata upande wa bibi yako,alafu upumbavu umeutoa chadema....adam mtu wa kwanza duniani hakua na elimu ila alikua na hekima...lema hana hekima,alafu wewe kama mtumwa wake unae wekewa mafuta ili ukarushe mawe ndo umekua malaya wa hoja!!!..wewe siasa huiwezi,wewe kaa tu nyumbani uwe una tumwa always dukani na mazzaa!!
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!