Joshua ameongea ukweli,NI KWELI KWAMBA KKKT WANA MIRADI MINGI KULIKO SERIKALI KWENYE JIMBO LAKE,serikali ina miradi michache mno na ninaitaja hapa yote
1.chuo cha nelson mandela
2.chuo cha CDTI
3.Arusha National Park
4.chuo cha mifugo Liti Tengeru
5.kituo cha uhamilishaji cha taifa (NAIC)
kanisa la KKKT linamiliki miradi ifuatayo
1.ranch 3
2.benki(hamna benki ya serikali arumeru,wala ATM,kuna crdb,nbc,na Meru Community bank)
3.chuo kikuu kishiriki cha makumira-(kina maktaba ya kwanza afrika mashariki na kati,kwa umri na ubora)
4.shule za sekondari zaidi ya 50,zinazojitegemea.
5.vyuo vya ufundi vikubwa 10 vikiwemo chuo cha walemavu usa river,chuo cha leguruki ufundi,chuo cha mshikamano-itambulike katika jimbo la Nassari hakuna chuo cha Veta hata kimoja
6.miradi ya bio-gas.
****kwa muda niliopitapita kwenye jimbo la dogo janja hayo maneno ninaweza nikaamini.
pia isisahaulike kwamba jengo ambalo air Tanzania wamekodi toka zamani lilopo mjini arusha karibu na clock tower linamilikiwa na KKKT.