Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh. Joshua Nassari amerejea nchini jana usiku toka Uingereza(Masomoni) kuungana na wananchi wa Arusha Mjini hapo kesho kwenye kesi ya Mh Lema.
[HASHTAG]#JusticeforLema[/HASHTAG]
Miaka 12
.....Mbona umepaniki sana?
Watu ambao katika ukoo wao ndio wakwanza kwenda kusoma ulaya utawajua tu! Maana hii taarifa kua katoka ulaya kusoma imepachikwa kusikofaa mradi tu ijulikane kua alikua huko ulaya anasoma!Asante ya kiukweli au ya kinafki?hiyooo
Ova
Una maneno ya kejeli sana mkuu nlijua tu asante yako ni ya ki snitch.....Sawa nyie ndiyo wasomi pekeeWatu ambao katika ukoo wao ndio wakwanza kwenda kusoma ulaya utawajua tu! Maana hii taarifa kua katoka ulaya kusoma imepachikwa kusikofaa mradi tu ijulikane kua alikua huko ulaya anasoma!