Nassari aingia mkataba na Obama Foundation

Nassari aingia mkataba na Obama Foundation

SHILLINGS

Senior Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
160
Reaction score
648
Aliyekuwa mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Joshua Nassari hatimaye amepewa mkataba wa miaka miwili wa kufanya kazi kwenye taasisi ya Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama (Obama Foundation). Moja ya masharti ya mkataba ni kutojihusisha na siasa za vyama.

Joshua Nassari anatarajia kuweka makazi yake jijini Chicago, Illinois.
 
Sifa kubwa ukiwa serikalini lazima uwe na roho mbaya kuwatengenezea watu wengine kesi na kuwazamisha kwenye kina kirefu ili wasiibuke tena! Kazi hii hufanywa pia na wachawi na watu wanaitwa sadist! Yaani wakati wengine wanaumia na kutokwa machozi sadist anacheka na kushangilia! Mungu mkubwa amfariji huyu dogo japokuwa hatujui mengi juu ya sakata lake la kuvuliwa ubunge! Kuna watu walikuwa behind kumuumiza nassari lkn Mungu amemkumbuka! Kila la kheri
 
Tunamuombea kila la kheri
Aliyekuwa mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Joshua Nassari hatimaye amepewa mkataba wa miaka miwili wa kufanya kazi kwenye taasisi ya Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama (Obama Foundation). Moja ya masharti ya mkataba ni kutojihusisha na siasa za vyama.

Joshua Nassari anatarajia kuweka makazi yake jijini Chicago, Illinois.
 
Aliyekuwa mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Joshua Nassari hatimaye amepewa mkataba wa miaka miwili wa kufanya kazi kwenye taasisi ya Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama (Obama Foundation). Moja ya masharti ya mkataba ni kutojihusisha na siasa za vyama.

Joshua Nassari anatarajia kuweka makazi yake jijini Chicago, Illinois.
Nafasi gani?,Talishi?
 
huko Obama foundation ufipa kampani limited ndo hospital aliyolazwa mwenzake alipokuwa anaamuuguzia!!! akili ndogo za bush shida sana!! mtu akizaliwa bush hata aende Mbinguni kijiji hakimtoki kichwani!! maisha yana formulas zake, haiingii akilini leo ufukuzwe ubunge (kazi) kesho tu ushadaka kazi ingine! mtu ukitimuliwa kazi kusota kwanza ndio hufuata kabla hujapata job ingine!! sisi si wajinga!!!
Acha wivu.
Wewe ulitaka asote mtaani....wewe endelea kuisoma namba
 
..huyu atarudi 2025 na kugombea tena.

..na upo uwezekano akashinda kwasababu alipoondolewa hakuwa na ugomvi na wapiga kura wake.
 
Aliyekuwa mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Joshua Nassari hatimaye amepewa mkataba wa miaka miwili wa kufanya kazi kwenye taasisi ya Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama (Obama Foundation). Moja ya masharti ya mkataba ni kutojihusisha na siasa za vyama.

Joshua Nassari anatarajia kuweka makazi yake jijini Chicago, Illinois.
AUGUST 27, 2018
Back to News
Harris Office of Admissions
Emailharrisadmissions@uchicago.edu
773.702.8401
unknown-2.jpeg

The youngest Member of Parliament in Tanzania, Nassari was first elected as a Member of Tanzania Parliament (MP) when he was 26 years old in 2012, and then reelected in 2015. He holds a BA in Policy, Planning, and Administration from the University of Dar Es Salaam and an MA from the University of Westminster in International Relations and Democratic Politics.
Nassari has debated, scrutinized, and voted on legislation for the past six years, with particular focus on improving the quality of public education and healthcare in Tanzania, a country which previously only owned two ambulances. Committed to action, Nassari purchased ambulances and donated them to increase the fleet of emergency healthcare vehicles.
While Nassari is completing the MAIDP and Obama Foundation Scholars program, he will take a nine-month sabbatical from Parliament. Afterward, he plans to continue his work for the East African community.


https://harris.uchicago.edu/news-events/events/world-it-book-discussion-ben-rhodes
 
Back
Top Bottom