nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
Ndani ya ccm hakuna mpigania maendeleo ya kweli!
sasa kama madawati yamejaa wapokee yanini? kwanini asisaidie kwingine nje ya jimbo lake?
Ccm ni janga la kitaifa.
Nadhani kunahaja ya kupeleka hayo madawati bila kumshirikisha diwani husika maana watoto hawawezi kukaa chini kwa ujuha wa mtu mmoja. Ikumbukwe kuwa Nassari ni mbunge wa Arumeru mashariki yote ikiwemo na kata ya huyo diwani kiburi
Hivyo anauwezo wa kufanya kazi popote bila kuingiliwa na yeyote maadam ni ndani ya mipaka ya jimbo husika Nimekuwa nampobgeza Nassari kwa jitihada zake za kuwa jaribu na wananchi wake na kushiriki kazi za kuwaletea maendeleo wananchi wake hakika huyu jamaa ni mfano wa kuigwa hata kwa wabunge wa upinzani hasa Makamanda heko sana mkuu
BACK TANGANYIKA
MSALANI likes this.
Hahahahahaha kweli huyu jamaa ni punguani,ati amelike hii du kazi kweli kweli,sijui na sioni kama tutafika
MSALANI likes this.
Hahahahahaha kweli huyu jamaa ni punguani,ati amelike hii du kazi kweli kweli,sijui na sioni kama tutafika
Inashangaza na kusikitisha juu mtu anatoa msaada kusaidia wanakata alafu ndio wakwanza kusema maisha bora kwakila mtanzania, sasa hii niaibu kubwa sana nakibaya zaidi hao wanao kata hawawezi kuoa msaada intarahamwe huruma kwa wanao itaji msaada nimuhimu sana