Nasra Yusufu wa Churchil Show

Nasra Yusufu wa Churchil Show

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,899
Reaction score
37,696
Huyu Dada namuelewa sana. Ni bonge la comedian .Ana kipaji cha hali ya juu sana cha kuchekesha .

Mimi ni moja kati ya watu ambao nilikuwaga siamini kama mwanamke anaweza kuwa funny.

Nasra Yusufu ana kuwa mwanamke wa pili duniani kuprove wrong my theory wa kwanza akiwa Anne Kansiime.

Mcheki You tube uongeze siku za kuishi.

She is also a good philosopher .
One of her best quotes include but not limited to the following.

1. Wakenya original mnatakiwa muwe mnajiuliza kwanini wakenya wenye asili ya Somalia ( wasomali ) tuna hela sana. Kwa sababu hata sisi huwa tunajiuliza kwanini nyinyi hamna hela .


2. Wanawake tu napenda sana wanaume wanao jua kupika ila tatizo ni pale unapokutana na mwanaume anajua kupika lakini mvivu wa kula. Yani unakuta mwanaume anapika kwa muda wa Masaa mawili lakini anakula dakika mbili tu ameshiba halafu analala.

My Almighty Allah keep on showering her blessings to this beautiful and talented woman
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    12.4 KB · Views: 77
Kuna hawa pia: MJOMBA NANDENDE na Mwenzie NTWAWE DADA, noma sana
 
Huyu Dada namuelewa sana. Ni bonge la comedian .Ana kipaji cha hali ya juu sana cha kuchekesha .

Mimi ni moja kati ya watu ambao nilikuwaga siamini kama mwanamke anaweza kuwa funny.

Nasra Yusufu ana kuwa mwanamke wa pili duniani kuprove wrong my theory wa kwanza akiwa Anne Kansiime.

Mcheki You tube uongeze siku za kuishi.

She is also a good philosopher .
One of her best quotes include but not limited to the following.

1. Wakenya original mnatakiwa muwe mnajiuliza kwanini wakenya wenye asili ya Somalia ( wasomali ) tuna hela sana. Kwa sababu hata sisi huwa tunajiuliza kwanini nyinyi hamna hela .


2. Wanawake tu napenda sana wanaume wanao jua kupika ila tatizo ni pale unapokutana na mwanaume anajua kupika lakini mvivu wa kula. Yani unakuta mwanaume anapika kwa muda wa Masaa mawili lakini anakula dakika mbili tu ameshiba halafu analala.

My Almighty Allah keep on showering her blessings to this beautiful and talented woman
Umesahau big Mama Jemutai
 
Jemutai namkubali yuko poa
Umenifanya nimfuatilie Nasra,,yupo vizur pia na ukitoa wale wengine kina Mamito huyu ndie atakae mpa upinzani Jemutai endapo akizoea jukwaa.

Anavaa vizur pia
 
Umenifanya nimfuatilie Nasra,,yupo vizur pia na ukitoa wale wengine kina Mamito huyu ndie atakae mpa upinzani Jemutai endapo akizoea jukwaa.

Anavaa vizur pia
Kabisa Yuko vizuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom