Nasimama na Spika Ndugai

Nasimama na Spika Ndugai

Kwanza ningependa kusema neno dhaifu si tusi wala dhambi, hakuna binadamu au chombo ambacho kinaweza kikajitokeza kwamba ni kikamilifu nikiwa na maana ya kuwa perfect hapa Tanzania na duniani kote. Binadamu tumeumbwa na madhaifu mengi ya kila aina. Ningemshauri spika asingelichukulia hili jambo negatively kwa sababu cag hakuelezea huu udhaifu ni upi? Kwani angekuwa na subira ya kujua cag alimaanisha nini. Hii labda ingemsaidia kujua hayo madhaifu ni yapi na labda ingeweza kumsaidia kurekebisha madhaifu hayo. Wadhifa tunaopewa usitufanye tusiwe watu wakujifunza kutoka kwa wale ambao wanaona yale ambayo hatuyaoni, Busara na hekima na uwezo wa kupokea ukosoaji na kuuc hambua kabla hujatoa maamuzi ni sifa kubwa ya uongozi. Tujifunze kuangalia vitu positevely ni uwezo mkubwa ambao kiongozi anatakiwa awe nao. Huyu jamaa ana vitu muhimu sana vya kuelezea kuhusu hayo mapungufu,let us learn from him. Tusimfunge mdomo.
 
NASIMAMA NA SPIKA NDUGAI.

Jana 14:15pm,07/06/2019.

Nianze kwa kusema Matamshi ya CAG kwenye vyombo vya habari yamekuwa yanaleta mkanganyiko sana,Huwa napata shida sana kumuelewa CAG,Wacha niendelee kula ugali labda nitamuelewa.

Msingi Mkuu ama naweza kusema Jukumu Kuu la Bunge letu ni Utunzi wa Sheria na Kuisimamia Serikali.Hapo kwenye kuisimamia Serikali CAG na yeye yumo,CAG anajumuika na Bunge katika kamati mbili anakuwa sehemu ya kuisimamia Serikali.

Kwa ambao mliishia kusoma Machapisho ya Lema,Zitto,Ole Mushi juu ya habari hii na kuanza kucomment bila kusikia clip ya CAG na Clip ya Spika akifanya Press, Nashauri mumsikilize Mhe Spika kama mimi kupitia Clip ya Video mtamuelewa vizuri sana Spika sio kama tulivyosoma machapisho awali akina Zitto Kabwe,Godbless Lema na Thadei Ole Mushi, Hoja ya Spika ina nguvu sana,hasa dharau aliyoonyesha CAG kwa Bunge na ukosefu wa Uzalendo aliouonyesha CAG kwa kwenda kuzungumza Marekani ,mambo ambayo angeweza kuyachukulia hatua akiwa katika kamati mbili za Bunge ambazo anaingia.

Matamshi ya CAG si dharau kwa bunge tu hata kwa Serikali pia..maana bungeni kuna baraza lote la Mawaziri ikiwemo na Waziri Mkuu hii ni ishara ya dharau na utovu wa nidhamu kwa Mamlaka husika..nadhani kuna haja ya nafasi CAG kuangaliwa upya kama bado anafaa kuendelea na hiyo nafasi ama la.

CAG kama sehemu ya Serikali angeweza kusema ofisi ya CAG imelifanyia kazi, na ni kazi ya Bunge kuhakikisha inapeleka Maazimio Serikalini si ilikuwa inatosha,ingeonyesha dhana ya umiliki ama Umoja katika hilo, kuna haja gani ya kusema bunge ni dhaifu? Ina maana yeye CAG na wataalam wake wanapoingia kwenye kamati za Bunge nao ni dhaifu sio!? Mara ya mwisho CAG alizua sintofahamu kubwa kuhusu 1.5T kwa matamshi ya namna inayofanana kwenye vyombo vya habari. Na kwanini asimwandikie Spika kama kuna mahali alihisi kuna lega lega, bado naamini aliyoyafanya ni utovu wa nidhamu..huwezi kusema mhimili mwingine wa nchi ni dhaifu.

Katiba na sheria ya kuanzishwa kwa ofisi yake inaruhusu kuondolewa kwa CAG kutoka kwenye ofisi, inaweza kutumika hiyo kama njia mbalada ya kuondoa tatizo.

-Kuchaguliwa ama kuondolewa kwa Spika.

7.The Controller and Auditor General may be removed from his office for reasons and procedures provided for under Article 144 of the Constitution.

8,-(1) Where the post of the Controller and Auditor-General becomes vacant,the President may appoint a person to that office within sixty days of the post becoming vacant.

Viongozi wa ofisi za Umma wanatakiwa kufanya kazi kwa manufaa ya nchi( national interest)..sasa sijui yeye anafanya kazi kwa manufaa ya nani!?

Kifungu hiki cha Katiba kinampa Mh Rais mamlaka ya kumuwajibisha na kumwondoa CAG,kwa misbehaving kama anavyofanya huyu CAG.

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article,the Controller and Auditor -General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.
(2) The Controller and Auditor -General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to any other reason) or for misbehaviour,or for violating the provisions of the law concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article.
(3) If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated,then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court.

Kifungu alichokitaja Lema,Zitto na Mushi kuwa kinampa immunity CAG ya kutohojiwa na chombo chochote, Kinapotoshwa. Ukweli ni kwamba hawezi kuhojiwa na chombo chochote wakati akiwa anatekeleza majukumu yake ya ukaguzi (Auditing).

Yaani ule ushibe upande ndege uende Marekani na kuichafua mihimili yetu kwa dharau ati usihojiwe? La hasha,tunaupeleka wapi Uzalendo kwa nchi yetu ,Tanzania!? Tumeamua kumuiga Tundu Lissu anavyoichafua nchi uko Ulaya au tumeamua kumuiga Mange Kimambi,au Ansbert Ngurumo au Evarist Chahali!?

Hivi ni busara CAG kwenda kuidhalilisha mihimili yetu nje ya Nchi huko kwa mabeberu? Huu ndio weledi!? Je ndo kazi iliyompeleka? Yaani CAG anageuka kuanza kufanya kazi za akina Tundu Lissu,Zitto Kabwe na Mbowe wanaokimbiliaga Ulaya kuisemea Tanzania, Hebu tuache mchezo kwenye Uzalendo na heshima ya Tanzania,Wapo Watanzania uko Ulaya wanaishi kwa heshima ya Tanzania ,lakini mtu anatoka huku anaenda huko kuichafua Tanzania.

Tukidai CAG anakinga kwa kila kitu ina maana CAG hata akiiba aachwe, akitukana watu aachwe, akiua aachwe kisa "hawezi kuhojiwa?" Yako wapi maadili aliyotufundisha Mwalimu Nyerere!? Viko wapi vyuo vya Maadili ya Uongozi,Hombolo pale Dodoma na Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere pale Kigamboni!?

Kila Kiongozi katika mihimili yote mitatu tukiyonayo wanapaswa kuishi kwa kulinda Sheria na Katiba na kuheshimu mihimili mingine.

Huwezi kuliita Bunge dhaifu, ni lugha ya kukera kutoka kwa mtu wa aina ya CAG hasa tunavyoona jinsi Bunge mara kadhaa linavyowawajibisha watendaji wa umma kwa sababu ya audit reports. Mara kadhaa Mawaziri wamewajibishwa na Bunge kwa sababu ya CAG, Watendaji wa Mikoa, Halmashauri, Mawaziri, Makatibu Wakuu wamekuwa wakibanwa kwa sababu ya Audit Report, inawezekana CAG alitamani mahali fulani katika Bunge paongeze nguvu, ana fursa sahihi zaidi ya kushauri, lakini sio kulitusi Bunge zima kuwa ni dhaifu.Je Wakurugenzi wenye hati chafu has a kuwa ni bingwa kwa kufutwa kazi!?

Ukitekeleza wajibu wako hautakumbana na mkono wa sheria, ukishindwa yatakukuta haya ya CAG kama ambavyo pia Mawaziri, Makatibu Wakuu na hata Wakuu wa Mikoa kadhaa ambavyo wameshafikishwa katika Kamati mbalimbali za Bunge kuitwa kutoa ufafanuzi ikiwemo hii ya Maadili.

Kuna watu wanasema eti Spika alikuwa anahangaika kutaja kosa la CAG. hakuweka wazi kwamba “amelidharau bunge” badala yake aliishia kusema ‘aende akeleze kuhusu maneno yake’ Hivi jamani kusema "Bunge ni dhaifu" bado hamjaona kosa!? CAG kaamua kuuvua nguo mhimili wa Bunge,Sasa lazima aende mbele ya Bunge akajieleze,na kwa nini alienda kusemea Marekani!?

Nimalizie kwa kusema,Kanuni za Bunge zinaipa mamlaka ya Bunge kumuita na kumuhoji mtu yeyote isipokuwa kama kuna shauri lolote dhidi ya mtu huyo lililopo Mahakamani,Mungu ibariki Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
umikosea ungesema umeamua kusimama na mgonjwa wa mtindio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utetezi wako ldhaifu unaonyesha ni kosa Muhimili mmoja kuingilia mwingine. Nimekupa mfano dhahiri wa muhimili mmoja kuingilia mwingine tena kwa kuutuhumu hadharani. Huna Utetezi wa kutosha kaa kimya.
CAG is wrong na Magu is wrong pia.... Ila tujadili CAG....
Kutoa mifano ya wengine hakubadilishi kosa
 
Lazima muelewe context ya ile kitu. CAG hakuitisha press conference na kuanza kulituhumu Bunge. Alikuwa akijibu swali na kusema ‘ yeye na ofisi yake wanafanya kazi yao ila hatua hazichukuliwi, na hiyo kwake yeye ni udhaifu wa Bunge’. It is an open secret kwamba mambo kibao Bunge linayafumbia macho na huu ni udhaifu - either due to poor leadership au kwa sababu tu ya mifumo iliyopo

Nadhani kuna haja wazee wa baraza la kiswahili nao wawepo kwenye hicho kikao cha kumsuta CAG ili wafafanye maana halisi ya “udhaifu”.
 
NASIMAMA NA SPIKA NDUGAI.

Jana 14:15pm,07/06/2019.

Nianze kwa kusema Matamshi ya CAG kwenye vyombo vya habari yamekuwa yanaleta mkanganyiko sana,Huwa napata shida sana kumuelewa CAG,Wacha niendelee kula ugali labda nitamuelewa.

Msingi Mkuu ama naweza kusema Jukumu Kuu la Bunge letu ni Utunzi wa Sheria na Kuisimamia Serikali.Hapo kwenye kuisimamia Serikali CAG na yeye yumo,CAG anajumuika na Bunge katika kamati mbili anakuwa sehemu ya kuisimamia Serikali.

Kwa ambao mliishia kusoma Machapisho ya Lema,Zitto,Ole Mushi juu ya habari hii na kuanza kucomment bila kusikia clip ya CAG na Clip ya Spika akifanya Press, Nashauri mumsikilize Mhe Spika kama mimi kupitia Clip ya Video mtamuelewa vizuri sana Spika sio kama tulivyosoma machapisho awali akina Zitto Kabwe,Godbless Lema na Thadei Ole Mushi, Hoja ya Spika ina nguvu sana,hasa dharau aliyoonyesha CAG kwa Bunge na ukosefu wa Uzalendo aliouonyesha CAG kwa kwenda kuzungumza Marekani ,mambo ambayo angeweza kuyachukulia hatua akiwa katika kamati mbili za Bunge ambazo anaingia.

Matamshi ya CAG si dharau kwa bunge tu hata kwa Serikali pia..maana bungeni kuna baraza lote la Mawaziri ikiwemo na Waziri Mkuu hii ni ishara ya dharau na utovu wa nidhamu kwa Mamlaka husika..nadhani kuna haja ya nafasi CAG kuangaliwa upya kama bado anafaa kuendelea na hiyo nafasi ama la.

CAG kama sehemu ya Serikali angeweza kusema ofisi ya CAG imelifanyia kazi, na ni kazi ya Bunge kuhakikisha inapeleka Maazimio Serikalini si ilikuwa inatosha,ingeonyesha dhana ya umiliki ama Umoja katika hilo, kuna haja gani ya kusema bunge ni dhaifu? Ina maana yeye CAG na wataalam wake wanapoingia kwenye kamati za Bunge nao ni dhaifu sio!? Mara ya mwisho CAG alizua sintofahamu kubwa kuhusu 1.5T kwa matamshi ya namna inayofanana kwenye vyombo vya habari. Na kwanini asimwandikie Spika kama kuna mahali alihisi kuna lega lega, bado naamini aliyoyafanya ni utovu wa nidhamu..huwezi kusema mhimili mwingine wa nchi ni dhaifu.

Katiba na sheria ya kuanzishwa kwa ofisi yake inaruhusu kuondolewa kwa CAG kutoka kwenye ofisi, inaweza kutumika hiyo kama njia mbalada ya kuondoa tatizo.

-Kuchaguliwa ama kuondolewa kwa Spika.

7.The Controller and Auditor General may be removed from his office for reasons and procedures provided for under Article 144 of the Constitution.

8,-(1) Where the post of the Controller and Auditor-General becomes vacant,the President may appoint a person to that office within sixty days of the post becoming vacant.

Viongozi wa ofisi za Umma wanatakiwa kufanya kazi kwa manufaa ya nchi( national interest)..sasa sijui yeye anafanya kazi kwa manufaa ya nani!?

Kifungu hiki cha Katiba kinampa Mh Rais mamlaka ya kumuwajibisha na kumwondoa CAG,kwa misbehaving kama anavyofanya huyu CAG.

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article,the Controller and Auditor -General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.
(2) The Controller and Auditor -General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to any other reason) or for misbehaviour,or for violating the provisions of the law concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article.
(3) If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated,then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court.

Kifungu alichokitaja Lema,Zitto na Mushi kuwa kinampa immunity CAG ya kutohojiwa na chombo chochote, Kinapotoshwa. Ukweli ni kwamba hawezi kuhojiwa na chombo chochote wakati akiwa anatekeleza majukumu yake ya ukaguzi (Auditing).

Yaani ule ushibe upande ndege uende Marekani na kuichafua mihimili yetu kwa dharau ati usihojiwe? La hasha,tunaupeleka wapi Uzalendo kwa nchi yetu ,Tanzania!? Tumeamua kumuiga Tundu Lissu anavyoichafua nchi uko Ulaya au tumeamua kumuiga Mange Kimambi,au Ansbert Ngurumo au Evarist Chahali!?

Hivi ni busara CAG kwenda kuidhalilisha mihimili yetu nje ya Nchi huko kwa mabeberu? Huu ndio weledi!? Je ndo kazi iliyompeleka? Yaani CAG anageuka kuanza kufanya kazi za akina Tundu Lissu,Zitto Kabwe na Mbowe wanaokimbiliaga Ulaya kuisemea Tanzania, Hebu tuache mchezo kwenye Uzalendo na heshima ya Tanzania,Wapo Watanzania uko Ulaya wanaishi kwa heshima ya Tanzania ,lakini mtu anatoka huku anaenda huko kuichafua Tanzania.

Tukidai CAG anakinga kwa kila kitu ina maana CAG hata akiiba aachwe, akitukana watu aachwe, akiua aachwe kisa "hawezi kuhojiwa?" Yako wapi maadili aliyotufundisha Mwalimu Nyerere!? Viko wapi vyuo vya Maadili ya Uongozi,Hombolo pale Dodoma na Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere pale Kigamboni!?

Kila Kiongozi katika mihimili yote mitatu tukiyonayo wanapaswa kuishi kwa kulinda Sheria na Katiba na kuheshimu mihimili mingine.

Huwezi kuliita Bunge dhaifu, ni lugha ya kukera kutoka kwa mtu wa aina ya CAG hasa tunavyoona jinsi Bunge mara kadhaa linavyowawajibisha watendaji wa umma kwa sababu ya audit reports. Mara kadhaa Mawaziri wamewajibishwa na Bunge kwa sababu ya CAG, Watendaji wa Mikoa, Halmashauri, Mawaziri, Makatibu Wakuu wamekuwa wakibanwa kwa sababu ya Audit Report, inawezekana CAG alitamani mahali fulani katika Bunge paongeze nguvu, ana fursa sahihi zaidi ya kushauri, lakini sio kulitusi Bunge zima kuwa ni dhaifu.Je Wakurugenzi wenye hati chafu has a kuwa ni bingwa kwa kufutwa kazi!?

Ukitekeleza wajibu wako hautakumbana na mkono wa sheria, ukishindwa yatakukuta haya ya CAG kama ambavyo pia Mawaziri, Makatibu Wakuu na hata Wakuu wa Mikoa kadhaa ambavyo wameshafikishwa katika Kamati mbalimbali za Bunge kuitwa kutoa ufafanuzi ikiwemo hii ya Maadili.

Kuna watu wanasema eti Spika alikuwa anahangaika kutaja kosa la CAG. hakuweka wazi kwamba “amelidharau bunge” badala yake aliishia kusema ‘aende akeleze kuhusu maneno yake’ Hivi jamani kusema "Bunge ni dhaifu" bado hamjaona kosa!? CAG kaamua kuuvua nguo mhimili wa Bunge,Sasa lazima aende mbele ya Bunge akajieleze,na kwa nini alienda kusemea Marekani!?

Nimalizie kwa kusema,Kanuni za Bunge zinaipa mamlaka ya Bunge kumuita na kumuhoji mtu yeyote isipokuwa kama kuna shauri lolote dhidi ya mtu huyo lililopo Mahakamani,Mungu ibariki Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Kuna tofauti kati ya wabunge na bunge. Bunge lina wabunge, rais pamoja na na mwanasheria mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu alichokifanya CAG kuongelea huko nje ya nchi si sahihi hata kidogo. .LAKINI je kuna ukwel wowote katika aliloliongea CAG mana limekuwa likijirudiadia mara kwa mara kuongelewa? Kwann wasijitafakali katika hilo kwanza mana kutokana na historia niipatayo kuhusu Prof Assad ni mtu wa kunyoosha ukwel

Sent using Jamii Forums mobile app

Huko "nje alikosemea" alienda kwenye fungate la likizo ya harusi yake (honey moon) au alikuwa kwenye shughuli za kikazi kwa kofia yake hiyohiyo ya CAG?

"Huko nje" alikosemea, kwa taarifa yako hata fedha ambazo huwa anakagua zingine zikitumika na Spika na bunge lake, 40% huwa zinatoka kwa haohao wa nje. Kwanini wasimuulize namna fedha zao zinavyotumika na kwanini unadhani asijibu?

Ndiyo maana John Pombe Magufuli ni mwoga kusafiri nje kutembeza bakuli, kumbe huogopa kujibu maswali kama haya...

Kwa hiyo ishu siyo kusemea nje au ndani ya nchi....

Bali ishu ni ukweli kuwa, bunge chini ya Spika Job Ndugai ni dhaifu sana, halifanyi na kutimiza wajibu wake kuisimamia serikali ktk matumizi sahihi ya fedha zetu sisi wananchi!!

Ni nini msichoelewa nyie?

Basi kama neno "dhaifu" ni kashfa na tusi kwa Ndugai, basi sisi sote kwenye social medias tunaoendelea kuliita bunge hili ni dhaifu, itolewe "arrest warrant" watufuate na pingu twende kwenye kamati yake tukahojiwe kama Halima Mdee!!
 
Huko "nje alikosemea" alienda kwenye fungate (honey moon) au alikuwa kwenye shughuli za kikazi kwa kofia yake hiyohiyo ya CAG?

"huko nje" alikosemea, hata fedha ambazo huwa anakagua zingine zikitumika na Spika na bunge lake zinatoka hukohuko nje?

Kwa hiyo ishu siyo kusemea nje au ndani ya nje. Bali ishu ni ukweli kuwa, bunge chini ya Spika Job Ndugai ni dhaifu sana, halifanyi na kutimiza wajibu wake kuisimamia serikali ktk matumizi sahihi ya fedha zetu sisi wananchi!!

Ni nini msichoelewa nyie?

Basi kama neno "dhaifu" ni kashfa na tusi kwa Ndugai, basi sisi sote kwenye social medias tunaoendelea kuliita bunge hili ni dhaifu, itolewe "arrest warrant" watufuate na pingu twende kwenye kamati yake tukahojiwe kama Halima Mdee!!
Toka nyuma ya keyboard haraf uendelee kuongea haya nadhan ushanielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu alichokifanya CAG kuongelea huko nje ya nchi si sahihi hata kidogo. .LAKINI je kuna ukwel wowote katika aliloliongea CAG mana limekuwa likijirudiadia mara kwa mara kuongelewa? Kwann wasijitafakali katika hilo kwanza mana kutokana na historia niipatayo kuhusu Prof Assad ni mtu wa kunyoosha ukwel

Sent using Jamii Forums mobile app
Angejiudhuru kwa maazimio yake kutoshughulikiwa akafanue kazi zingine kama kina mzee mengi au mzee ally mufuruki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uvccm mmeingilia humu Jamii Forum. Yule ni Professor, na mwingine ni division ziro form four, unategemea nini hapo kwenye mizani? Wacha uccm wenu wa kijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti hawa ndio washabiki wa serikali inayojinadi kupiga vita wizi, rushwa na ufisadi serikalini.

Wanafiki wakubwa hawa!
 
Lazima muelewe context ya ile kitu. CAG hakuitisha press conference na kuanza kulituhumu Bunge. Alikuwa akijibu swali na kusema ‘ yeye na ofisi yake wanafanya kazi yao ila hatua hazichukuliwi, na hiyo kwake yeye ni udhaifu wa Bunge’. It is an open secret kwamba mambo kibao Bunge linayafumbia macho na huu ni udhaifu - either due to poor leadership au kwa sababu tu ya mifumo iliyopo

Nadhani kuna haja wazee wa baraza la kiswahili nao wawepo kwenye hicho kikao cha kumsuta CAG ili wafafanye maana halisi ya “udhaifu”.
IGP.. Kwanini kuna uharifu sana nchini? Sisi kama polisi tunakamata waharifu ila mahakama ni dhaifu, inawaachia....
Jaji mkuu: Dogo tutakufunga.. u talking too much... unatufundisha kazi??... we gonna shut you the hell up
Wapambe: Huyo ana immune hata akifanya kosa lolote hakamatwi?? Am like whaaaaaat? CAG analindwa mambo ya Auditing only
 
Back
Top Bottom