Nasimama na Spika Ndugai

Nasimama na Spika Ndugai

CAG kama aliona kila anachokipeleka uwe ushauri au maoni aidha kwa serikali au bunge avitekelezwi,alichukua maamuzi gani au kwanini asijiudhuru

Unapotaka kitu ukisemacho kiwe na impact unakizungumzia sehemu ambayo maneno yako yakisikika yatafanikisha yale uliyotaka yatimie; mfano ni huu wa CAG juu ya udhaifu wa bunge, unadhani hayo maneno angerudia kuyasema akiwa nchini yangekuwa na msisimko na impact kama yalivyopata? Sio siri kuwa Ndugai kama Spika ni dhaifu sana na ndio maana bunge nalo ni dhaifu; mambo yanayofanywa na bunge kwa mfano kukamatwa hovyo na kudhalilishwa kwa wabunge yasingeweza kutokea enzi za marehemu Sitta hata Anna Makinda for that matter!! Ndugai ana maradhi yanayomsibu hivyo sidhani kama hata ubongo wake uko salama.
 
Kwa level yake CAG akiongea kitu watu Kama wewe wakakielewa kwa wepesi lazima tujiulize Mara Mbili mbili.

Nikupongeze kwa kueleza ukweli kuwa huwa humwelewi.

Sio kosa kutokumwelewa, na sio wewe tu.

Nirudie kusema kuwa
"CAG hakukosea chochote Bali kasema kile ambacho wenye mamlaka hawapendi kusikia"

Hili pia sio kosa
Daah umemjibu vizuri sana... Asipokuelewa basi tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kuna ukweli, maana wasemalo watu sana kuna....Ila hakutakiwa kusema hayo huko Ughaibuni kama vile. Kajisafisha huku analitia bunge letu tukufu matope!
Labda naye alijiona untouchable, labda alijisahau na kujiona bora, uzuri kasoma, atarudi kufundisha Accountancy vyuoni au Auditing mitaani, hatakufa njaa..
 
Mkuu alichokifanya CAG kuongelea huko nje ya nchi si sahihi hata kidogo. .LAKINI je kuna ukwel wowote katika aliloliongea CAG mana limekuwa likijirudiadia mara kwa mara kuongelewa? Kwann wasijitafakali katika hilo kwanza mana kutokana na historia niipatayo kuhusu Prof Assad ni mtu wa kunyoosha ukwel

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wali ni mzuri sana lakini ukiwekwa kwenye sehemu isiyo sahihi haufai kabisa kwa matumizi.

CAG amekosea sana hata maadili ya kihasibu. Nazani amemiss behave big times inabidi ajirekebishe tu.
Angeweza kufuata taratibu za kihasibu wala haya yote yasingekuwepo. Mhasibu lazima uwe na siri kali sana la sivyo huko kwenye makampuni watu wangekuwa wanalia kila siku. Nazani kuna pressure anapata ambayo anaona haiku sawa angeachia tu ngazi ili awe huru.
 
NASIMAMA NA SPIKA NDUGAI.

Jana 14:15pm,07/06/2019.

Nianze kwa kusema Matamshi ya CAG kwenye vyombo vya habari yamekuwa yanaleta mkanganyiko sana,Huwa napata shida sana kumuelewa CAG,Wacha niendelee kula ugali labda nitamuelewa.

Msingi Mkuu ama naweza kusema Jukumu Kuu la Bunge letu ni Utunzi wa Sheria na Kuisimamia Serikali.Hapo kwenye kuisimamia Serikali CAG na yeye yumo,CAG anajumuika na Bunge katika kamati mbili anakuwa sehemu ya kuisimamia Serikali.

Kwa ambao mliishia kusoma Machapisho ya Lema,Zitto,Ole Mushi juu ya habari hii na kuanza kucomment bila kusikia clip ya CAG na Clip ya Spika akifanya Press, Nashauri mumsikilize Mhe Spika kama mimi kupitia Clip ya Video mtamuelewa vizuri sana Spika sio kama tulivyosoma machapisho awali akina Zitto Kabwe,Godbless Lema na Thadei Ole Mushi, Hoja ya Spika ina nguvu sana,hasa dharau aliyoonyesha CAG kwa Bunge na ukosefu wa Uzalendo aliouonyesha CAG kwa kwenda kuzungumza Marekani ,mambo ambayo angeweza kuyachukulia hatua akiwa katika kamati mbili za Bunge ambazo anaingia.

Matamshi ya CAG si dharau kwa bunge tu hata kwa Serikali pia..maana bungeni kuna baraza lote la Mawaziri ikiwemo na Waziri Mkuu hii ni ishara ya dharau na utovu wa nidhamu kwa Mamlaka husika..nadhani kuna haja ya nafasi CAG kuangaliwa upya kama bado anafaa kuendelea na hiyo nafasi ama la.

CAG kama sehemu ya Serikali angeweza kusema ofisi ya CAG imelifanyia kazi, na ni kazi ya Bunge kuhakikisha inapeleka Maazimio Serikalini si ilikuwa inatosha,ingeonyesha dhana ya umiliki ama Umoja katika hilo, kuna haja gani ya kusema bunge ni dhaifu? Ina maana yeye CAG na wataalam wake wanapoingia kwenye kamati za Bunge nao ni dhaifu sio!? Mara ya mwisho CAG alizua sintofahamu kubwa kuhusu 1.5T kwa matamshi ya namna inayofanana kwenye vyombo vya habari. Na kwanini asimwandikie Spika kama kuna mahali alihisi kuna lega lega, bado naamini aliyoyafanya ni utovu wa nidhamu..huwezi kusema mhimili mwingine wa nchi ni dhaifu.

Katiba na sheria ya kuanzishwa kwa ofisi yake inaruhusu kuondolewa kwa CAG kutoka kwenye ofisi, inaweza kutumika hiyo kama njia mbalada ya kuondoa tatizo.

-Kuchaguliwa ama kuondolewa kwa Spika.

7.The Controller and Auditor General may be removed from his office for reasons and procedures provided for under Article 144 of the Constitution.

8,-(1) Where the post of the Controller and Auditor-General becomes vacant,the President may appoint a person to that office within sixty days of the post becoming vacant.

Viongozi wa ofisi za Umma wanatakiwa kufanya kazi kwa manufaa ya nchi( national interest)..sasa sijui yeye anafanya kazi kwa manufaa ya nani!?

Kifungu hiki cha Katiba kinampa Mh Rais mamlaka ya kumuwajibisha na kumwondoa CAG,kwa misbehaving kama anavyofanya huyu CAG.

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article,the Controller and Auditor -General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.
(2) The Controller and Auditor -General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to any other reason) or for misbehaviour,or for violating the provisions of the law concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article.
(3) If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated,then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court.

Kifungu alichokitaja Lema,Zitto na Mushi kuwa kinampa immunity CAG ya kutohojiwa na chombo chochote, Kinapotoshwa. Ukweli ni kwamba hawezi kuhojiwa na chombo chochote wakati akiwa anatekeleza majukumu yake ya ukaguzi (Auditing).

Yaani ule ushibe upande ndege uende Marekani na kuichafua mihimili yetu kwa dharau ati usihojiwe? La hasha,tunaupeleka wapi Uzalendo kwa nchi yetu ,Tanzania!? Tumeamua kumuiga Tundu Lissu anavyoichafua nchi uko Ulaya au tumeamua kumuiga Mange Kimambi,au Ansbert Ngurumo au Evarist Chahali!?

Hivi ni busara CAG kwenda kuidhalilisha mihimili yetu nje ya Nchi huko kwa mabeberu? Huu ndio weledi!? Je ndo kazi iliyompeleka? Yaani CAG anageuka kuanza kufanya kazi za akina Tundu Lissu,Zitto Kabwe na Mbowe wanaokimbiliaga Ulaya kuisemea Tanzania, Hebu tuache mchezo kwenye Uzalendo na heshima ya Tanzania,Wapo Watanzania uko Ulaya wanaishi kwa heshima ya Tanzania ,lakini mtu anatoka huku anaenda huko kuichafua Tanzania.

Tukidai CAG anakinga kwa kila kitu ina maana CAG hata akiiba aachwe, akitukana watu aachwe, akiua aachwe kisa "hawezi kuhojiwa?" Yako wapi maadili aliyotufundisha Mwalimu Nyerere!? Viko wapi vyuo vya Maadili ya Uongozi,Hombolo pale Dodoma na Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere pale Kigamboni!?

Kila Kiongozi katika mihimili yote mitatu tukiyonayo wanapaswa kuishi kwa kulinda Sheria na Katiba na kuheshimu mihimili mingine.

Huwezi kuliita Bunge dhaifu, ni lugha ya kukera kutoka kwa mtu wa aina ya CAG hasa tunavyoona jinsi Bunge mara kadhaa linavyowawajibisha watendaji wa umma kwa sababu ya audit reports. Mara kadhaa Mawaziri wamewajibishwa na Bunge kwa sababu ya CAG, Watendaji wa Mikoa, Halmashauri, Mawaziri, Makatibu Wakuu wamekuwa wakibanwa kwa sababu ya Audit Report, inawezekana CAG alitamani mahali fulani katika Bunge paongeze nguvu, ana fursa sahihi zaidi ya kushauri, lakini sio kulitusi Bunge zima kuwa ni dhaifu.Je Wakurugenzi wenye hati chafu has a kuwa ni bingwa kwa kufutwa kazi!?

Ukitekeleza wajibu wako hautakumbana na mkono wa sheria, ukishindwa yatakukuta haya ya CAG kama ambavyo pia Mawaziri, Makatibu Wakuu na hata Wakuu wa Mikoa kadhaa ambavyo wameshafikishwa katika Kamati mbalimbali za Bunge kuitwa kutoa ufafanuzi ikiwemo hii ya Maadili.

Kuna watu wanasema eti Spika alikuwa anahangaika kutaja kosa la CAG. hakuweka wazi kwamba “amelidharau bunge” badala yake aliishia kusema ‘aende akeleze kuhusu maneno yake’ Hivi jamani kusema "Bunge ni dhaifu" bado hamjaona kosa!? CAG kaamua kuuvua nguo mhimili wa Bunge,Sasa lazima aende mbele ya Bunge akajieleze,na kwa nini alienda kusemea Marekani!?

Nimalizie kwa kusema,Kanuni za Bunge zinaipa mamlaka ya Bunge kumuita na kumuhoji mtu yeyote isipokuwa kama kuna shauri lolote dhidi ya mtu huyo lililopo Mahakamani,Mungu ibariki Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Nimekuelewa mkuu lakina hata wenye CPA waje hapa watakuambia.. Huwezi sikia Auditors anaongelea mambo ya mteja wake kwenye public. Kama mambo yameenda vibaya basi anatakiwa afuate utaratibu.
 
Mkuu alichokifanya CAG kuongelea huko nje ya nchi si sahihi hata kidogo. .LAKINI je kuna ukwel wowote katika aliloliongea CAG mana limekuwa likijirudiadia mara kwa mara kuongelewa? Kwann wasijitafakali katika hilo kwanza mana kutokana na historia niipatayo kuhusu Prof Assad ni mtu wa kunyoosha ukwel

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama hamtaki ya nje si bora mtafute dunia yenu mjifungie na kufanya mambo yenu ndani, lakini dunia hii imekuwa Kijiji na mipaka imebaki katika fikra na border post tu. sasa mtu anasema popote na ukweli haubadiliki kwa kutegemea sehemu mtu anayosemea, kikokotoo kimejadiliwa na bunge na wabunge kusema ndioooooooooooo na supika kupitisha sasa nia ya kikokotoo imeonekana baadae kwamba serikali ndio imekopa pesa za mifuko na haitaki kulipa sasa na mzigo wamesukumiziwa wastaafu ili wafe mapema wazurumiwe.

Hili ndio Bunge ambalo limesimamisha shughuli zake kwa muda kumpongeza Jiwe kwa kuamua kununua korosho kwa pesa za Benki na kwenda kuhifadhi katika maghala na wajeda wakiongozwa na CDF kwenda kusomba tena afadhali CAG alisema Dhaifu sie huku mtaani tunaona ni Ujazzband. Kama kasemea nje imekuwa nongwa lini hawa wa awamu hii wamekubali kusemwa humu nchini, Zitto kaitwa mara ngapi kwa kusema tu na Lisu unajua alipo kwa kusemea humu nchini, watu wanasema mpaka wafiche ID kama humu JF na umeona Mero anavyosumbuliwa.
 
NASIMAMA NA SPIKA NDUGAI.

Jana 14:15pm,07/06/2019.

Nianze kwa kusema Matamshi ya CAG kwenye vyombo vya habari yamekuwa yanaleta mkanganyiko sana,Huwa napata shida sana kumuelewa CAG,Wacha niendelee kula ugali labda nitamuelewa.

Msingi Mkuu ama naweza kusema Jukumu Kuu la Bunge letu ni Utunzi wa Sheria na Kuisimamia Serikali.Hapo kwenye kuisimamia Serikali CAG na yeye yumo,CAG anajumuika na Bunge katika kamati mbili anakuwa sehemu ya kuisimamia Serikali.

Kwa ambao mliishia kusoma Machapisho ya Lema,Zitto,Ole Mushi juu ya habari hii na kuanza kucomment bila kusikia clip ya CAG na Clip ya Spika akifanya Press, Nashauri mumsikilize Mhe Spika kama mimi kupitia Clip ya Video mtamuelewa vizuri sana Spika sio kama tulivyosoma machapisho awali akina Zitto Kabwe,Godbless Lema na Thadei Ole Mushi, Hoja ya Spika ina nguvu sana,hasa dharau aliyoonyesha CAG kwa Bunge na ukosefu wa Uzalendo aliouonyesha CAG kwa kwenda kuzungumza Marekani ,mambo ambayo angeweza kuyachukulia hatua akiwa katika kamati mbili za Bunge ambazo anaingia.

Matamshi ya CAG si dharau kwa bunge tu hata kwa Serikali pia..maana bungeni kuna baraza lote la Mawaziri ikiwemo na Waziri Mkuu hii ni ishara ya dharau na utovu wa nidhamu kwa Mamlaka husika..nadhani kuna haja ya nafasi CAG kuangaliwa upya kama bado anafaa kuendelea na hiyo nafasi ama la.

CAG kama sehemu ya Serikali angeweza kusema ofisi ya CAG imelifanyia kazi, na ni kazi ya Bunge kuhakikisha inapeleka Maazimio Serikalini si ilikuwa inatosha,ingeonyesha dhana ya umiliki ama Umoja katika hilo, kuna haja gani ya kusema bunge ni dhaifu? Ina maana yeye CAG na wataalam wake wanapoingia kwenye kamati za Bunge nao ni dhaifu sio!? Mara ya mwisho CAG alizua sintofahamu kubwa kuhusu 1.5T kwa matamshi ya namna inayofanana kwenye vyombo vya habari. Na kwanini asimwandikie Spika kama kuna mahali alihisi kuna lega lega, bado naamini aliyoyafanya ni utovu wa nidhamu..huwezi kusema mhimili mwingine wa nchi ni dhaifu.

Katiba na sheria ya kuanzishwa kwa ofisi yake inaruhusu kuondolewa kwa CAG kutoka kwenye ofisi, inaweza kutumika hiyo kama njia mbalada ya kuondoa tatizo.

-Kuchaguliwa ama kuondolewa kwa Spika.

7.The Controller and Auditor General may be removed from his office for reasons and procedures provided for under Article 144 of the Constitution.

8,-(1) Where the post of the Controller and Auditor-General becomes vacant,the President may appoint a person to that office within sixty days of the post becoming vacant.

Viongozi wa ofisi za Umma wanatakiwa kufanya kazi kwa manufaa ya nchi( national interest)..sasa sijui yeye anafanya kazi kwa manufaa ya nani!?

Kifungu hiki cha Katiba kinampa Mh Rais mamlaka ya kumuwajibisha na kumwondoa CAG,kwa misbehaving kama anavyofanya huyu CAG.

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article,the Controller and Auditor -General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.
(2) The Controller and Auditor -General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to any other reason) or for misbehaviour,or for violating the provisions of the law concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article.
(3) If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated,then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court.

Kifungu alichokitaja Lema,Zitto na Mushi kuwa kinampa immunity CAG ya kutohojiwa na chombo chochote, Kinapotoshwa. Ukweli ni kwamba hawezi kuhojiwa na chombo chochote wakati akiwa anatekeleza majukumu yake ya ukaguzi (Auditing).

Yaani ule ushibe upande ndege uende Marekani na kuichafua mihimili yetu kwa dharau ati usihojiwe? La hasha,tunaupeleka wapi Uzalendo kwa nchi yetu ,Tanzania!? Tumeamua kumuiga Tundu Lissu anavyoichafua nchi uko Ulaya au tumeamua kumuiga Mange Kimambi,au Ansbert Ngurumo au Evarist Chahali!?

Hivi ni busara CAG kwenda kuidhalilisha mihimili yetu nje ya Nchi huko kwa mabeberu? Huu ndio weledi!? Je ndo kazi iliyompeleka? Yaani CAG anageuka kuanza kufanya kazi za akina Tundu Lissu,Zitto Kabwe na Mbowe wanaokimbiliaga Ulaya kuisemea Tanzania, Hebu tuache mchezo kwenye Uzalendo na heshima ya Tanzania,Wapo Watanzania uko Ulaya wanaishi kwa heshima ya Tanzania ,lakini mtu anatoka huku anaenda huko kuichafua Tanzania.

Tukidai CAG anakinga kwa kila kitu ina maana CAG hata akiiba aachwe, akitukana watu aachwe, akiua aachwe kisa "hawezi kuhojiwa?" Yako wapi maadili aliyotufundisha Mwalimu Nyerere!? Viko wapi vyuo vya Maadili ya Uongozi,Hombolo pale Dodoma na Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere pale Kigamboni!?

Kila Kiongozi katika mihimili yote mitatu tukiyonayo wanapaswa kuishi kwa kulinda Sheria na Katiba na kuheshimu mihimili mingine.

Huwezi kuliita Bunge dhaifu, ni lugha ya kukera kutoka kwa mtu wa aina ya CAG hasa tunavyoona jinsi Bunge mara kadhaa linavyowawajibisha watendaji wa umma kwa sababu ya audit reports. Mara kadhaa Mawaziri wamewajibishwa na Bunge kwa sababu ya CAG, Watendaji wa Mikoa, Halmashauri, Mawaziri, Makatibu Wakuu wamekuwa wakibanwa kwa sababu ya Audit Report, inawezekana CAG alitamani mahali fulani katika Bunge paongeze nguvu, ana fursa sahihi zaidi ya kushauri, lakini sio kulitusi Bunge zima kuwa ni dhaifu.Je Wakurugenzi wenye hati chafu has a kuwa ni bingwa kwa kufutwa kazi!?

Ukitekeleza wajibu wako hautakumbana na mkono wa sheria, ukishindwa yatakukuta haya ya CAG kama ambavyo pia Mawaziri, Makatibu Wakuu na hata Wakuu wa Mikoa kadhaa ambavyo wameshafikishwa katika Kamati mbalimbali za Bunge kuitwa kutoa ufafanuzi ikiwemo hii ya Maadili.

Kuna watu wanasema eti Spika alikuwa anahangaika kutaja kosa la CAG. hakuweka wazi kwamba “amelidharau bunge” badala yake aliishia kusema ‘aende akeleze kuhusu maneno yake’ Hivi jamani kusema "Bunge ni dhaifu" bado hamjaona kosa!? CAG kaamua kuuvua nguo mhimili wa Bunge,Sasa lazima aende mbele ya Bunge akajieleze,na kwa nini alienda kusemea Marekani!?

Nimalizie kwa kusema,Kanuni za Bunge zinaipa mamlaka ya Bunge kumuita na kumuhoji mtu yeyote isipokuwa kama kuna shauri lolote dhidi ya mtu huyo lililopo Mahakamani,Mungu ibariki Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Inatosha na imetosha...well said mkuu Chakubanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chakubanga nimekuelewa.Hujamzuia CAG kufanya kazi yake, bali asimamie na afuate taratibu sahihi.Kwenye dosari apendekeze cha kufanywa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani nikiamka asubuhi nisilisikie hili dude CAG, yaani liwe limeshaachia ngazi haraka sana.

Sio ukifanikiwa tu kuamka, hata ufie usingizini bado ukweli aliosema CAG uko palepale. Bunge ni dhaifu na hilo liko wazi. Hata wamfukuze kazi huyo CAG bado bunge itabidi lijitafakari kuhusu huu udhaifu aliosema CAG. Sisi wananchi tunaojitambua kila siku tunasema bunge letu ni dhaifu, na CAG amekazia kwa ushahidi. Rais anachotaka pesa bila ruhusa ya bunge, kama bunge sio dhaifu maana yake ni nini? Ni hivi penda usipende bunge ni dhaifu.
 
[
QUOTE="Geniustin, post: 29936439, member: 131613"]Hata kama ananyoosha ukweli, lakini hawezi kuidharirisha Inji popote pale achilia mbali huko ughaibuni.


Tumefundishwa Staha, kuchukuliana, kuheshimiana.
Hata kama kuna shida mahali, tumalizane wenyewe kwa vikao na mijadala ya ndani.

Uzalendo kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]

Staha kwenye wizi? Tuvumiliane kwenye wizi wa 1.5t? Siku hizi ni ngumu kutofautisha uzalendo na ujinga. Huyo CAG akifika kwenye hicho kikao atalionyesha bunge lilivyo dhaifu kwa kutaka wamuonyeshe wapi wamehoji zilipo 1.5t, wasipomuonyesha jibu la udhaifu litakuwa wazi. Isitoshe kwa hili alilosema CAG hata kama watamsumbua ukweli kwa bunge ni dhaifu utaendelea kuwa wazi na sisi wananchi tunaojitambua tutaendelea kulidharau.
 
Uko vizuri bro nimependa ulichoandika... Usikatishwe tamaa na comments ...
Yes Bunge ni dhaifu.... Ila bado ni muhimili usiotakiwa kutukanwa na CAG.....

Uwe dhaifu halafu usitukanwe? Usipotukanwa huo udhaifu utakaa uishe?
 
NASIMAMA NA SPIKA NDUGAI.

Jana 14:15pm,07/06/2019.

Nianze kwa kusema Matamshi ya CAG kwenye vyombo vya habari yamekuwa yanaleta mkanganyiko sana,Huwa napata shida sana kumuelewa CAG,Wacha niendelee kula ugali labda nitamuelewa.

Msingi Mkuu ama naweza kusema Jukumu Kuu la Bunge letu ni Utunzi wa Sheria na Kuisimamia Serikali.Hapo kwenye kuisimamia Serikali CAG na yeye yumo,CAG anajumuika na Bunge katika kamati mbili anakuwa sehemu ya kuisimamia Serikali.

Kwa ambao mliishia kusoma Machapisho ya Lema,Zitto,Ole Mushi juu ya habari hii na kuanza kucomment bila kusikia clip ya CAG na Clip ya Spika akifanya Press, Nashauri mumsikilize Mhe Spika kama mimi kupitia Clip ya Video mtamuelewa vizuri sana Spika sio kama tulivyosoma machapisho awali akina Zitto Kabwe,Godbless Lema na Thadei Ole Mushi, Hoja ya Spika ina nguvu sana,hasa dharau aliyoonyesha CAG kwa Bunge na ukosefu wa Uzalendo aliouonyesha CAG kwa kwenda kuzungumza Marekani ,mambo ambayo angeweza kuyachukulia hatua akiwa katika kamati mbili za Bunge ambazo anaingia.

Matamshi ya CAG si dharau kwa bunge tu hata kwa Serikali pia..maana bungeni kuna baraza lote la Mawaziri ikiwemo na Waziri Mkuu hii ni ishara ya dharau na utovu wa nidhamu kwa Mamlaka husika..nadhani kuna haja ya nafasi CAG kuangaliwa upya kama bado anafaa kuendelea na hiyo nafasi ama la.

CAG kama sehemu ya Serikali angeweza kusema ofisi ya CAG imelifanyia kazi, na ni kazi ya Bunge kuhakikisha inapeleka Maazimio Serikalini si ilikuwa inatosha,ingeonyesha dhana ya umiliki ama Umoja katika hilo, kuna haja gani ya kusema bunge ni dhaifu? Ina maana yeye CAG na wataalam wake wanapoingia kwenye kamati za Bunge nao ni dhaifu sio!? Mara ya mwisho CAG alizua sintofahamu kubwa kuhusu 1.5T kwa matamshi ya namna inayofanana kwenye vyombo vya habari. Na kwanini asimwandikie Spika kama kuna mahali alihisi kuna lega lega, bado naamini aliyoyafanya ni utovu wa nidhamu..huwezi kusema mhimili mwingine wa nchi ni dhaifu.

Katiba na sheria ya kuanzishwa kwa ofisi yake inaruhusu kuondolewa kwa CAG kutoka kwenye ofisi, inaweza kutumika hiyo kama njia mbalada ya kuondoa tatizo.

-Kuchaguliwa ama kuondolewa kwa Spika.

7.The Controller and Auditor General may be removed from his office for reasons and procedures provided for under Article 144 of the Constitution.

8,-(1) Where the post of the Controller and Auditor-General becomes vacant,the President may appoint a person to that office within sixty days of the post becoming vacant.

Viongozi wa ofisi za Umma wanatakiwa kufanya kazi kwa manufaa ya nchi( national interest)..sasa sijui yeye anafanya kazi kwa manufaa ya nani!?

Kifungu hiki cha Katiba kinampa Mh Rais mamlaka ya kumuwajibisha na kumwondoa CAG,kwa misbehaving kama anavyofanya huyu CAG.

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article,the Controller and Auditor -General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.
(2) The Controller and Auditor -General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to any other reason) or for misbehaviour,or for violating the provisions of the law concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article.
(3) If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated,then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court.

Kifungu alichokitaja Lema,Zitto na Mushi kuwa kinampa immunity CAG ya kutohojiwa na chombo chochote, Kinapotoshwa. Ukweli ni kwamba hawezi kuhojiwa na chombo chochote wakati akiwa anatekeleza majukumu yake ya ukaguzi (Auditing).

Yaani ule ushibe upande ndege uende Marekani na kuichafua mihimili yetu kwa dharau ati usihojiwe? La hasha,tunaupeleka wapi Uzalendo kwa nchi yetu ,Tanzania!? Tumeamua kumuiga Tundu Lissu anavyoichafua nchi uko Ulaya au tumeamua kumuiga Mange Kimambi,au Ansbert Ngurumo au Evarist Chahali!?

Hivi ni busara CAG kwenda kuidhalilisha mihimili yetu nje ya Nchi huko kwa mabeberu? Huu ndio weledi!? Je ndo kazi iliyompeleka? Yaani CAG anageuka kuanza kufanya kazi za akina Tundu Lissu,Zitto Kabwe na Mbowe wanaokimbiliaga Ulaya kuisemea Tanzania, Hebu tuache mchezo kwenye Uzalendo na heshima ya Tanzania,Wapo Watanzania uko Ulaya wanaishi kwa heshima ya Tanzania ,lakini mtu anatoka huku anaenda huko kuichafua Tanzania.

Tukidai CAG anakinga kwa kila kitu ina maana CAG hata akiiba aachwe, akitukana watu aachwe, akiua aachwe kisa "hawezi kuhojiwa?" Yako wapi maadili aliyotufundisha Mwalimu Nyerere!? Viko wapi vyuo vya Maadili ya Uongozi,Hombolo pale Dodoma na Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere pale Kigamboni!?

Kila Kiongozi katika mihimili yote mitatu tukiyonayo wanapaswa kuishi kwa kulinda Sheria na Katiba na kuheshimu mihimili mingine.

Huwezi kuliita Bunge dhaifu, ni lugha ya kukera kutoka kwa mtu wa aina ya CAG hasa tunavyoona jinsi Bunge mara kadhaa linavyowawajibisha watendaji wa umma kwa sababu ya audit reports. Mara kadhaa Mawaziri wamewajibishwa na Bunge kwa sababu ya CAG, Watendaji wa Mikoa, Halmashauri, Mawaziri, Makatibu Wakuu wamekuwa wakibanwa kwa sababu ya Audit Report, inawezekana CAG alitamani mahali fulani katika Bunge paongeze nguvu, ana fursa sahihi zaidi ya kushauri, lakini sio kulitusi Bunge zima kuwa ni dhaifu.Je Wakurugenzi wenye hati chafu has a kuwa ni bingwa kwa kufutwa kazi!?

Ukitekeleza wajibu wako hautakumbana na mkono wa sheria, ukishindwa yatakukuta haya ya CAG kama ambavyo pia Mawaziri, Makatibu Wakuu na hata Wakuu wa Mikoa kadhaa ambavyo wameshafikishwa katika Kamati mbalimbali za Bunge kuitwa kutoa ufafanuzi ikiwemo hii ya Maadili.

Kuna watu wanasema eti Spika alikuwa anahangaika kutaja kosa la CAG. hakuweka wazi kwamba “amelidharau bunge” badala yake aliishia kusema ‘aende akeleze kuhusu maneno yake’ Hivi jamani kusema "Bunge ni dhaifu" bado hamjaona kosa!? CAG kaamua kuuvua nguo mhimili wa Bunge,Sasa lazima aende mbele ya Bunge akajieleze,na kwa nini alienda kusemea Marekani!?

Nimalizie kwa kusema,Kanuni za Bunge zinaipa mamlaka ya Bunge kumuita na kumuhoji mtu yeyote isipokuwa kama kuna shauri lolote dhidi ya mtu huyo lililopo Mahakamani,Mungu ibariki Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Yaani umeandika matapishi + uharo next time jipange

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NASIMAMA NA SPIKA NDUGAI.

Jana 14:15pm,07/06/2019.

Nianze kwa kusema Matamshi ya CAG kwenye vyombo vya habari yamekuwa yanaleta mkanganyiko sana,Huwa napata shida sana kumuelewa CAG,Wacha niendelee kula ugali labda nitamuelewa.

Msingi Mkuu ama naweza kusema Jukumu Kuu la Bunge letu ni Utunzi wa Sheria na Kuisimamia Serikali.Hapo kwenye kuisimamia Serikali CAG na yeye yumo,CAG anajumuika na Bunge katika kamati mbili anakuwa sehemu ya kuisimamia Serikali.

Kwa ambao mliishia kusoma Machapisho ya Lema,Zitto,Ole Mushi juu ya habari hii na kuanza kucomment bila kusikia clip ya CAG na Clip ya Spika akifanya Press, Nashauri mumsikilize Mhe Spika kama mimi kupitia Clip ya Video mtamuelewa vizuri sana Spika sio kama tulivyosoma machapisho awali akina Zitto Kabwe,Godbless Lema na Thadei Ole Mushi, Hoja ya Spika ina nguvu sana,hasa dharau aliyoonyesha CAG kwa Bunge na ukosefu wa Uzalendo aliouonyesha CAG kwa kwenda kuzungumza Marekani ,mambo ambayo angeweza kuyachukulia hatua akiwa katika kamati mbili za Bunge ambazo anaingia.

Matamshi ya CAG si dharau kwa bunge tu hata kwa Serikali pia..maana bungeni kuna baraza lote la Mawaziri ikiwemo na Waziri Mkuu hii ni ishara ya dharau na utovu wa nidhamu kwa Mamlaka husika..nadhani kuna haja ya nafasi CAG kuangaliwa upya kama bado anafaa kuendelea na hiyo nafasi ama la.

CAG kama sehemu ya Serikali angeweza kusema ofisi ya CAG imelifanyia kazi, na ni kazi ya Bunge kuhakikisha inapeleka Maazimio Serikalini si ilikuwa inatosha,ingeonyesha dhana ya umiliki ama Umoja katika hilo, kuna haja gani ya kusema bunge ni dhaifu? Ina maana yeye CAG na wataalam wake wanapoingia kwenye kamati za Bunge nao ni dhaifu sio!? Mara ya mwisho CAG alizua sintofahamu kubwa kuhusu 1.5T kwa matamshi ya namna inayofanana kwenye vyombo vya habari. Na kwanini asimwandikie Spika kama kuna mahali alihisi kuna lega lega, bado naamini aliyoyafanya ni utovu wa nidhamu..huwezi kusema mhimili mwingine wa nchi ni dhaifu.

Katiba na sheria ya kuanzishwa kwa ofisi yake inaruhusu kuondolewa kwa CAG kutoka kwenye ofisi, inaweza kutumika hiyo kama njia mbalada ya kuondoa tatizo.

-Kuchaguliwa ama kuondolewa kwa Spika.

7.The Controller and Auditor General may be removed from his office for reasons and procedures provided for under Article 144 of the Constitution.

8,-(1) Where the post of the Controller and Auditor-General becomes vacant,the President may appoint a person to that office within sixty days of the post becoming vacant.

Viongozi wa ofisi za Umma wanatakiwa kufanya kazi kwa manufaa ya nchi( national interest)..sasa sijui yeye anafanya kazi kwa manufaa ya nani!?

Kifungu hiki cha Katiba kinampa Mh Rais mamlaka ya kumuwajibisha na kumwondoa CAG,kwa misbehaving kama anavyofanya huyu CAG.

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article,the Controller and Auditor -General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.
(2) The Controller and Auditor -General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to any other reason) or for misbehaviour,or for violating the provisions of the law concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article.
(3) If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated,then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court.

Kifungu alichokitaja Lema,Zitto na Mushi kuwa kinampa immunity CAG ya kutohojiwa na chombo chochote, Kinapotoshwa. Ukweli ni kwamba hawezi kuhojiwa na chombo chochote wakati akiwa anatekeleza majukumu yake ya ukaguzi (Auditing).

Yaani ule ushibe upande ndege uende Marekani na kuichafua mihimili yetu kwa dharau ati usihojiwe? La hasha,tunaupeleka wapi Uzalendo kwa nchi yetu ,Tanzania!? Tumeamua kumuiga Tundu Lissu anavyoichafua nchi uko Ulaya au tumeamua kumuiga Mange Kimambi,au Ansbert Ngurumo au Evarist Chahali!?

Hivi ni busara CAG kwenda kuidhalilisha mihimili yetu nje ya Nchi huko kwa mabeberu? Huu ndio weledi!? Je ndo kazi iliyompeleka? Yaani CAG anageuka kuanza kufanya kazi za akina Tundu Lissu,Zitto Kabwe na Mbowe wanaokimbiliaga Ulaya kuisemea Tanzania, Hebu tuache mchezo kwenye Uzalendo na heshima ya Tanzania,Wapo Watanzania uko Ulaya wanaishi kwa heshima ya Tanzania ,lakini mtu anatoka huku anaenda huko kuichafua Tanzania.

Tukidai CAG anakinga kwa kila kitu ina maana CAG hata akiiba aachwe, akitukana watu aachwe, akiua aachwe kisa "hawezi kuhojiwa?" Yako wapi maadili aliyotufundisha Mwalimu Nyerere!? Viko wapi vyuo vya Maadili ya Uongozi,Hombolo pale Dodoma na Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere pale Kigamboni!?

Kila Kiongozi katika mihimili yote mitatu tukiyonayo wanapaswa kuishi kwa kulinda Sheria na Katiba na kuheshimu mihimili mingine.

Huwezi kuliita Bunge dhaifu, ni lugha ya kukera kutoka kwa mtu wa aina ya CAG hasa tunavyoona jinsi Bunge mara kadhaa linavyowawajibisha watendaji wa umma kwa sababu ya audit reports. Mara kadhaa Mawaziri wamewajibishwa na Bunge kwa sababu ya CAG, Watendaji wa Mikoa, Halmashauri, Mawaziri, Makatibu Wakuu wamekuwa wakibanwa kwa sababu ya Audit Report, inawezekana CAG alitamani mahali fulani katika Bunge paongeze nguvu, ana fursa sahihi zaidi ya kushauri, lakini sio kulitusi Bunge zima kuwa ni dhaifu.Je Wakurugenzi wenye hati chafu has a kuwa ni bingwa kwa kufutwa kazi!?

Ukitekeleza wajibu wako hautakumbana na mkono wa sheria, ukishindwa yatakukuta haya ya CAG kama ambavyo pia Mawaziri, Makatibu Wakuu na hata Wakuu wa Mikoa kadhaa ambavyo wameshafikishwa katika Kamati mbalimbali za Bunge kuitwa kutoa ufafanuzi ikiwemo hii ya Maadili.

Kuna watu wanasema eti Spika alikuwa anahangaika kutaja kosa la CAG. hakuweka wazi kwamba “amelidharau bunge” badala yake aliishia kusema ‘aende akeleze kuhusu maneno yake’ Hivi jamani kusema "Bunge ni dhaifu" bado hamjaona kosa!? CAG kaamua kuuvua nguo mhimili wa Bunge,Sasa lazima aende mbele ya Bunge akajieleze,na kwa nini alienda kusemea Marekani!?

Nimalizie kwa kusema,Kanuni za Bunge zinaipa mamlaka ya Bunge kumuita na kumuhoji mtu yeyote isipokuwa kama kuna shauri lolote dhidi ya mtu huyo lililopo Mahakamani,Mungu ibariki Tanzania.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Swali fikirishi....
Je ni nani kati ya Spika na CAG ni mzalendo....
Naomba Tuanzie hapa....
 
Back
Top Bottom