KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,078
Huyu jamaa kwa kweli ni Guru, Ila siku za karibuni amepoteza kabisa mvuto na content pia.
Nyuzi anazotuma zinakosa kabisa wachangiaji, kiasi kwamba kuanzia post ya kwanza hadi ya ishirini ni yeye mwenyewe amekuwa akizituma.
Tangu ameacha uchawi, mambo yake mtandaoni yamemwendea mrama.
Mzee Mwenzangu Mshana Jr, rudi kwenye Asili yako. Wewe ni mtu wa mizimu na matambiko, huyo mrembo anayekuogesha kwa maji ya upako wa Kawe Tanganyika Packers na kukupaka mafuta ya Zaituni kutoka kwenye madhabahu ya Mnyakyusa wa Kawe anakupoteza maboya, sambuka mwana
Nyuzi anazotuma zinakosa kabisa wachangiaji, kiasi kwamba kuanzia post ya kwanza hadi ya ishirini ni yeye mwenyewe amekuwa akizituma.
Tangu ameacha uchawi, mambo yake mtandaoni yamemwendea mrama.
Mzee Mwenzangu Mshana Jr, rudi kwenye Asili yako. Wewe ni mtu wa mizimu na matambiko, huyo mrembo anayekuogesha kwa maji ya upako wa Kawe Tanganyika Packers na kukupaka mafuta ya Zaituni kutoka kwenye madhabahu ya Mnyakyusa wa Kawe anakupoteza maboya, sambuka mwana