Dadii
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 748
- 1,147
mkuu pole sana, maisha yanakuwa magumu sana...yaani kukaa nyumbani inakuwa kama jehanamu vile.Ni kama hamna ndugu. Maana kila mmoja amelikinai hilo tendo kwa mwenzie. Lipo kwa mbali kama kubakana tu ili kutimiza wajibu.
Nilichokifanya ili kujiokoa na kuuweka sawa moyo usipitie majeraha makubwa,ikanibidi nifungue duka wilaya nyingine na tulipo mkoani.
Kwa hiyo muda mwingi namalizia huko shop. Naweza nikawa huko wiki na home siku 3,au 4 sababu ya watoto.