Na wewe umeamini wife alienda kazini?Ukute alienda Kwa bebi wake wa akiba kupunguza hasira, hapo karudi anakuchora tu, watoto wa mjini tunasema both teams to score, wahenga walisema mla huliwa
SanaaMwanamke haombwi msamaha hata kama umekosea.
Mwanamke hawezi kukuacha kisa kuchepuka, ila baada ya hawa feminists kuwa groom wanawake hali imekua tofauti saivi.
Yaani sijakuaminiusiwe unatoa siri za kambi tutakuvua uwanachama
Naomba mnasamehe sana wanachama, nimekosa Mimi....sirudii kuvujisha Siri, nakiri nimekuwa msungo🤣🤣🤣usiwe unatoa siri za kambi tutakuvua uwanachama
Wasikutishe naomba nije pm unipe mengineNaomba mnasamehe sana wanachama, nimekosa Mimi....sirudii kuvujisha Siri, nakiri nimekuwa msungo🤣🤣🤣
hakuna mwanamke ea kileo utamdanganyabkwa uongo huoKatika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...
Haya vijana chukueni point hapo...
Naomba mnasamehe sana wanachama, nimekosa Mimi....sirudii kuvujisha Siri, nakiri nimekuwa msungo
Naunga mkono hoja,Lazima tuwe na MBWINU 🤣
Kugombana na wife, ubaki unalala man alone kama nyoka mateso hayo..
Kulala nyuma ya matako raha bana asikwambie mtu🤣
Mtuhurumie sana mkuu!!Unachosema ni sahihi sana tunawala sana wake za watu. NDOA NI UTAPELI
Hawa vijana wa hovyo😁😁ni roho ya kukata tamaa ndio itakuwa inatesa
Pesa ni ngumu kaka wake za watu hawana gharama tunaponea humoMtuhurumie sana mkuu!!
Tabia mbaya mkuu, acha wake za watuPesa ni ngumu kaka wake za watu hawana gharama tunaponea humo
Sawa mkuu tatizo lenu hamuwapi shoo za maana wake zenu. Mwanamke anapenda kuwa dominated kunako 6×6Tabia mbaya mkuu, acha wake za watu
Huwezi kushindana na ngoziSawa mkuu tatizo lenu hamuwapi shoo za maana wake zenu. Mwanamke anapenda kuwa dominated kunako 6×6
Hapo ndipo wahuni wanapowazidi
Hapo ndipo mnapofeliHuwezi kushindana na ngozi
Tutachukuaje pointi wakati hatuwezi kuweka kondomu kwenye droo ya dalala! Haya hivyo umetufundisha tukioa tuwe waongo kwa wake zetu.Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂
Haya vijana chukueni point hapo...😊
😁Kwanza nahisi inawezekana ndio waifu huyo...🤨