Nashukuru kaacha hii tabia

Nashukuru kaacha hii tabia

Mbishi 4 real

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
640
Reaction score
657
Nina mpenzi wangu niko nae kwenye mahusiano zaidi ya miezi sita sasa, mimi ninampenda na yeye nina imani ananipenda ingawa siwezi kuwa na uhakika na hilo kwa asilimia mia mana sijui anachokiwaza moyoni mwake.

Tatizo kubwa ambalo lilikua linanikera toka kwa huyu mpenzi wangu kila tunapokua tumekutana kwaajiri ya kugegedana yeye huwai kuivua nguo yake ya ndani mwenyewe.Yani ilikua ukimuacha ndani dakika mbili tu labda umeenda dukani mara moja ukirudi unakuta kashaivua kaiweka pembeni kabaki tu na kanga moja bila nguo ya ndani.

Kuna siku nilikaa nae chini nikampa somo juu ya tabia yake kwamba anachokifanya sio sahihi mana kumvua mpenzi wako nguo ya ndani ni moja ya kionjo cha mahaba kwenye ulimwengu wa sita kwa sita.Sijajua kwa wanaume wenzangu wanaichukuliaje hali hii ila binafsi tukio la kumvua chupi mpenzi wangu huwa inaniongezea msisimko zaidi wa kimapenzi kwenye ulimwengu wa sita kwa sita.

Nashukuru tangu nimpe somo hii tabia aliyokua nayo amefanikiwa kuiacha na ninapokua nae chumbani huwa havui chupi yake mpaka mimi nimvue.

USHAURI
Wanaume tuwe na kawaida ya kukaa chini na wapenzi wetu na kuwaeleza kipi tunapenda na kipi hatupendi mana unaweza ukamlaumu mtoto wa watu kimoyomoyo kumbe hakuna hata siku moja ambayo umekaa nae chini na kumueleza ukweli juu ya tabia yake ambayo kwa upande wako unahisi haiko sawa na inakukera.
 
Ngoja nipite kwanza..[emoji124] [emoji124]
 
Akirudia tabia hiyo ya kuvua bila ridhaa yako naomba umlete kwangu nimkanye
 
duh..no wonders Magufuli kagoma kuongeza mishahara
 
Mimi napenda wale wanawake wasiovaa chupi.


Kama huyu anayewahi kuvua mwnyw tungelewana sana
 
Itakuwa Demu Wakoo MBAYAA SANAA NA HAKUVUTIIII...!!
 
bora wewe anavua mwenyewe wengine wabishi....

dooh umenikumbusha mwaka jana, nilienda mkoa flan kikazi, kuna baridi sana huo mkoa, kuna kidem (kitoto flan 17-20) kilishoboka, nikakileta niliposhukia, kwenye purukushan za kuvuana kikawa kinagoma nakumbuka mpaka niling'atwa....,

ushafanya fore play ila kwenye kofuli kinabana kuvuliwa, nakumbuka nilimwinua na kuvuta kwa nguvu, bahat mbaya ikachanika, nikatupa huko, nikazama, kinalalamika nimekichania nguo yake hukou mgegedo upo ndan mwanaume nashughulika, baada ya kazi kuisha nikajilaum imekuwaje nimchanie mtt wa watu nguo ? genye mbaya sana.
 
Back
Top Bottom