Nashukuru jukwaa la MMU kwa kunipatia mchumba

Nashukuru jukwaa la MMU kwa kunipatia mchumba

sycobzetz

Member
Joined
Jan 30, 2014
Posts
7
Reaction score
2
Mwezi mja uliopita niliposti status ya kwamba natafuta mchumba na hatimae tukiendana tutaoana so nashukuru mungu amejitokeza mchumba ambaye nafikiri atakuwa mtu sahihi kwangu ahsante sana JF.
 
Hongereni sana... Nawatakia kila la heri ingawa safari bado ni ndefu..!
 
mwezi mja uliopita niliposti status ya kwamba natafuta mchumba na hatimae tukiendana tutaoana xo nashukuru mungu amejitokeza mchumba ambaye nafikiri atakuwa mtu sahihi kwangu ahsante sana jf

wewe utakuwa una matatizo 'upstairs' sio bure asee!!..tatizo miafrika imejaa mawazo ya ngono mda wote!!..
 
mwezi mja uliopita niliposti status ya kwamba natafuta mchumba na hatimae tukiendana tutaoana xo nashukuru mungu amejitokeza mchumba ambaye nafikiri atakuwa mtu sahihi kwangu ahsante sana jf

MMMh unafikiri??? huyo bado. endelea kusaka wa uhakika.
 
mke toka jf?????????????mkorogano ukianza njoo utuombe ushauri.
 
wewe utakuwa una matatizo 'upstairs' sio bure asee!!..tatizo miafrika imejaa mawazo ya ngono mda wote!!..

We mbona sikuelewi umekasirika nini? Kwani huamini kama wawezapata mwenza kupitia mtandao? afu unakauli mbaya mno mana kwa kusoma yeye alichoandika na ulichojibu mbona naona wewe ndo haupo sawa upstairs. Grow up and get a life dude.
 
We mbona sikuelewi umekasirika nini? Kwani huamini kama wawezapata mwenza kupitia mtandao? afu unakauli mbaya mno mana kwa kusoma yeye alichoandika na ulichojibu mbona naona wewe ndo haupo sawa upstairs. Grow up and get a life dude.

'mbebez' at work
 
JF husaidia madomo zege.
Mkuu naomba ufute kauli yako na uombe radhi, kuna watu washanyanyasika sana kwenye mahusiano na wanaowafahamu so mtu anaamua angalau ajaribu kwa mtu wa keyboard asiyemfahamu na hajaribu huku kwa sababu ni domo zege.
 
Na wewe dada mwezi mmoja tu tayari umetangaza umepata mchumba? nyie ndio hamkawii kulizwa
 
Mwezi mja uliopita niliposti status ya kwamba natafuta mchumba na hatimae tukiendana tutaoana so nashukuru mungu amejitokeza mchumba ambaye nafikiri atakuwa mtu sahihi kwangu ahsante sana JF.

inabidi ulipe na kodi kabisa
 
uuuuuuuuuuuuupsi jf kiboko

mbebezi anaharibu hali ya hewa daaaaa


nachojiuliza mnaocheka na kumshangaa aliyepata mchumba huku mnamaanisha nini labda

hawa hawa wa jf ndo upo nao mitaani,kwenye daladala,kwa mama ntilie,makanisani nk na unawatongoza bila kujua
je unajuaje kuwa huyo ambae uko nae hayupo jf???
 
Mwezi mja uliopita niliposti status ya kwamba natafuta mchumba na hatimae tukiendana tutaoana so nashukuru mungu amejitokeza mchumba ambaye nafikiri atakuwa mtu sahihi kwangu ahsante sana JF.

Lumbe inawezekana ehh! Hongera sana kijana.
 
...nadhani bado tumuite "rafiki", "gelofrend". Huwezi kutangaza uchumba ndani ya mwezi mmoja.
Kila lenye heri, Mungu awatangulie ila MSIZINI, lol
 
Hongera sana Mungu awasaidie mtimize mlilokusudia.

kweli unawatakia kila la heri kwenye kuzini? maana ndio kusudio lao watakalolitimiza, hawa wachumba wa mitandao duu,mkigombana njooni humu, halafu pia aweke user name ya huyo mchumba.
 
Back
Top Bottom