Nashindwa nimjibu vipi dada yangu

Nashindwa nimjibu vipi dada yangu

safi sana hiyo ndio fundisho kwa wanawake wajinga wanao jipeleka kwa wanaume bila kuolewa....wacha apate joto la jiwe.

wewe nae hufai..ilitakuwa ukamchinjilie mbali dada yako kwa kuitia aibu familia....ungefanya hivyo ata mie ningeku support
 
kwa kuwa sababu iliyokufanya usimwambie haijatoweka, ndo maana ulimdanganya kuwa hukufahamu kinachoendelea kati ya shosti wako na shem.

naamini kukaa kimya kutakuumioza lakini kutaimarisha afya ya dadayako na uhusiano wako na dadayako.
take that secret to your grave!
 
Usithubutu kumwambia coz hiyo itamfanya machungu ya familia yote akuangushie we we so hata watu waseme vipi kausha ili next time wakigombana akiamua kuondoka iwe ni yeye na matatizo yke
 
kwa sisi wanariadha hivi tunaviita viunzi,kwa mtazamo wangu we piga kimya tu
 
Duh, familia zingine bwana! Sasa hata ukija kuoa si utaogopa mkeo kuchukuliwa na shemeji yako? Ushauri wangu, mwanamke yeyote utakaekuwa nae ama kumuoa muambia wazi, siku utakayogundua ana hata namba ya simu ya shemeji yako ama amekutana nae mjini hata wakasalimiana dk 10 ajue ndo mwisho wenu! Ovyo kabisa!
 
Sina ushauri ila namshabgaa miaka yote hiyo haoleei na bado kang'ang'ana hadi afukuzwe au aletewe ukimwi?

Mijanaume kama shemeji yako huwa atamzeesha dada yako halafu aoe mwanamke mwingine
 
Unaficha nn ss wakati unasema ulipojua tu ulikoma kwenda naye home. Mwambie tu. Na kizuri mwambie aangalie mstakabari wa maisha yake, awe anapima mara kwa mara ili likitokea la kutokea awe tayari kulikabiri. Mm mwenyewe mchepukaji lkn huyo shemeji yako naona kama kazidi vile. Anyway ni maisha tu mwana.
 
Yaani wote wawili mumepigwa gundi humo ndani!!? Hapo labda km mumeganda mnategeme hio hela ya bwamkubwa ila dhiki juu ya dhiki wala haikaliki....
Na nyumbani dada kafukuzwa?? Matatizo hayo kujipeleka kwa mwanaume bila ndoa ona sasa anavyomdhalilisha na hapo hata hio ndoa haitajwi tena...poleni ila na ww fanya uende kwa jamaa wengine huyo shemeji yako wala haaminiki asijekuzukia ukampa heart attack dadayako
 
Tangu nimeingia jf sijawahi soma thread ikanitoa chozi ila hii imenitoa

ninahisi uchungu nayakumbuka mengi ya watu wangu wa karibu,naikumbika story nilioambiwa juzi jamani

wanaume tufanye nini??

tunawapenda,tunawaamini na kuwaheshimu kipi tena tufanye ili msichepuke???
nadhani hata dada yake na mleta mada anatamani kujua afanye nini ili mumewe ampende jamani

natamani kuanzisha uzi ni nini kifanyikae wanaume watulie na kuacha kuitesa familia

nadhani ukienda kumwambia dada ukweli ni vyema ukampa na solution ya nini kifanyike maana nadhani ndio maana haondoki hapo

kumuacha mwanaume si solution hata siku moja jamani
 
Dada yako ni mjinga kama wewe na wajinga huwa hawapewi ushauri katu...

Ushauri hupewa kwa watu wanaojielewa maana hao watautendea kazi, bali mtu mjinga huuona ushauri apewao kama chukizo tu...

Adios...
 
safi sana hiyo ndio fundisho kwa wanawake wajinga wanao jipeleka kwa wanaume bila kuolewa....wacha apate joto la jiwe.

wewe nae hufai..ilitakuwa ukamchinjilie mbali dada yako kwa kuitia aibu familia....ungefanya hivyo ata mie ningeku support

Huna haki ya kumuita mtu mjinga eti sababu amefanya maamuzi ambayo unadhani si sahihi.
 
Kuna kibao cha zamani kinasema bibi na bwana wakigombana usiingilie waache watapatana tu, ugomvi wa ndoa usijaribu kuuingilia hata siku moja ww huna makosa na dadako hawezi kukulaumu mwenye makosa ni huyo rafiki yako aliyemchukua mume wa mtu! Shemeji yako kuchepuka huwezi jua hada dadako anaweza akawa ana tatizo, ya ngoswe muachie ngoswe! Kama ana watoto watatu ndo maana anavumilia watoto bila baba watateseka jamani halafu bado wadogo. Ww kama unakereka waachie nyumba yao ww nenda kwenu kwani yanakuhusu nn mapenzi yao walipokuwa wanatongozana ulikuwepo? watu wengine kwa kupenda kujipa mizigo?
 
Tatizo ashazalishwa so ni kama used item...yaani akitoka hapo ndo kabisa atakuwa kama widow/mjane, maana kumpata mwanaume mwingine aje achukue used item ni shida kidogo ingawa ni possible.
Huyo mwanaume huenda amemchoka bidada au ni hulka yake kuchepuka...Jini mahaba, so hapo bidada adai ndoa tu au kama anajiweza asepe akaanze maisha mapya. Asije akapewa magonjwa bure
 
Back
Top Bottom