HahaaaaaAre you you??
You triggered something 🤔
Mbona wapo wanaokwenda na kurudi , Maybe iwe haijawahi kumuachia positive legacy yeyote ile katika maisha yake zaidi ya kero tuHahaaaaa
Moyo wa mwanamke hauna reverse hata siku moja
Njoo inboboo mkuu nimalizeMapenzi ndio yalituunganisha kabla basi ningependa mapenzi yatupatanishe tena bila kutumia any other way
hakatajali umri wala size.
Daadeki.
Kakitoka hicho chumba kunabaki harufu ya clutch ikiungua.




manina line ya mwisho 

Umri wako pleaseMapenzi ndio yalituunganisha kabla basi ningependa mapenzi yatupatanishe tena bila kutumia any other way
Acha utahira wewe utopoloMm siko hivo na anajua hilo. Nampenda yeye tu dunia hii
Vijana wengi wamevuka mstari wa upendo, wamekuwa mabolizozo.Always huwa Nina waambia vijana wenzangu -. Katika mahusiano ya kimapenzi Kuna mstari mwembamba sana unao tenganisha baina ya Upendo/kupenda na ujinga , ukishindwa litambua Hilo you're doomed
Naam hapo sasa ukishavuka huo mstari lazima dunia ikunyoosheVijana wengi wamevuka mstari wa upendo, wamekuwa mabolizozo.






hiyo hiyo, bila shaka unaijua vizuri 😁😁manina line ya mwisho
![]()
'She's perfect in every way' halafu hayupo tayari kukusikiliza na kukusamehe. What kind of perfection are you referring to? Na je, ulimfanyia jambo gani baya kiasi cha kukasirika kwa kiwango hicho?Ku move on sio kitu rahisi ndugu. She's perfect in every way ndio maana inakua ngumu kupenda mwingine.
hiyo hiyo, bila shaka unaijua vizuri![]()


kwa kweli nime kuelewa Tena kwa kiwango kikubwahakatajali umri wala size.
Daadeki.
Kakitoka hicho chumba kunabaki harufu ya clutch ikiungua.


wamuache tu alie maana muda wake waja