H hakuna matata2 Member Sep 25, 2021 23 22 Oct 11, 2021 #1 Msaada simu yangu nikitaka kudanlodi application basi inalodi inazunguka tu hata asubuhi mpaka jioni haidanlodiki tatizo ni nini?
Msaada simu yangu nikitaka kudanlodi application basi inalodi inazunguka tu hata asubuhi mpaka jioni haidanlodiki tatizo ni nini?
Youngblood JF-Expert Member Aug 1, 2014 18,918 54,989 Oct 11, 2021 #2 Sababu inaweza kuwa hizi. Simu imejaa futa vitu vingine Apps ziko nyingi ambazo zinahitaji update na tayari zipo autupdate so hiyo unayotaka kudownlod inaingia kwenye pending Huna internet inayofaa Simu yako iko outdated.
Sababu inaweza kuwa hizi. Simu imejaa futa vitu vingine Apps ziko nyingi ambazo zinahitaji update na tayari zipo autupdate so hiyo unayotaka kudownlod inaingia kwenye pending Huna internet inayofaa Simu yako iko outdated.
fundi bishoo JF-Expert Member Jun 26, 2018 12,781 22,409 Oct 11, 2021 #3 Nenda settings >>application>>plastore>>clear data afu anza kudanlodi