Nashindwa kumuelewa Nape Nnauye

Nashindwa kumuelewa Nape Nnauye

Huyu jamaa yupo kigoma na ziara ya pamoja na Kinana.

Sasa anawahutubia wananchi kwamba sisi ccm ni chama makini tutaendele kutekeleza ahadi zetu kama tulivyo waahid,msiwasikilize wapinzan hawana sera.
Anawambia tumeenda KARENGA tumewapiga,tumeenda CHALINZE tumewapiga.
Sasa mimi najiuliza kwani haya majimbo yote hayo yalikuwa ya upinzani au yalikuwa Ya CCM?amempiga nani sasa?
Kama wewe hujamwelewa sisi tumemwelewa, sasa unataka nini?
 
Pole dada kwa kupata mume muongo na mpayukaji. Mwambie zile siku tisini za kujivua gamba sasa unampa wewe za kuacha uropokaji.
ImageUploadedByJamiiForums1397071284.477115.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Nape kavurugwa huyu iv mtu kula kuku wako ni kitu cha kujisifu mbele ya watu
 
Si mliingia kwenye ushindani? Ndicho anachomaanisha Nape, na bado, mpaka muachane na siasa za uana harakati. Kila cku ni kulialia tuu ,
hivi hizi siasa tunazo ziendekeza ni kwa faida ya nani. Huu ushabiki wa kisiasa Kama ulivyo kwa klabu zetu za Simba na yanga unaliangamiza taifa.
 
Tunataka Tanganyika yetu iliyochukua jina kutokana na Ziwa hilo hapo Kigoma!
Haya ya Kalenga na Chalinze ni porojo za kisiasa tu
 
Kwanini ushindwe kumuelewa? dhamira haikushtaki kusema eti "Sasa mimi najiuliza kwani haya majimbo yote hayo yalikuwa ya upinzani au yalikuwa Ya CCM?amempiga nani sasa?

Wewe huoni maintanance of status-quot ni defeat kwa CDM? Hiyo defeatists mentality unajifunza wapi ambayo siyo tu inakuliwaza kwa uwongo bali inakufanya uridhie mapigo? Ajabu sana, kazi ipo.
 
Hivi ukifanikiwa kumrtudisha mwanao nyumbani kutoka sober housena kuja kuendelea na bange nyumbani umeshindae?
 
Wamenunua shahada mpaka idadi ya wapiga kura imepungua, wawashukuru Takakuru
 
maisha ya ndoa hayanaga ubabaishaji kama yale ya kisiasa. hongera unajua kuchagua.

attachment.php
 
Huyu jamaa yupo kigoma na ziara ya pamoja na Kinana.

Sasa anawahutubia wananchi kwamba sisi ccm ni chama makini tutaendele kutekeleza ahadi zetu kama tulivyo waahid,msiwasikilize wapinzan hawana sera.
Anawambia tumeenda KARENGA tumewapiga,tumeenda CHALINZE tumewapiga.
Sasa mimi najiuliza kwani haya majimbo yote hayo yalikuwa ya upinzani au yalikuwa Ya CCM?amempiga nani sasa?

CCM hawajui kitu kinachoitwa"ENDELEVU/SUSTAINABILITY",
kimsingi wameendelea kulishikilia! inabidi waseme hivyo!
wanatakiwa wafanye tathmini ya matokeo haya!
 
Jitahidini kuiangamiza CDM halafu baadaye hasira mzirudishe kwa wananchi, manake patakuwa hakuna wa kuihoji ccm.........
 
maisha ya ndoa hayanaga ubabaishaji kama yale ya kisiasa. hongera unajua kuchagua.

attachment.php

bibi harusi mbona mdomo mpana sana au shoka imepita hivyo hivyo chini down.
 
Back
Top Bottom