The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 4,993
- 8,077
Naumwa baby siwezi hata kuamka njoo ghetto 😋
Naumwa baby siwezi hata kuamka njoo ghetto 😋
Ukishatuma naulii.....sorry dii sitaweza kuja leoo nimepata tumbo limeniumaa ghafla naenda hospitalWeka namba
Sasa utaenda kwa huyo au kwangu babyUkishatuma naulii.....sorry dii sitaweza kuja leoo nimepata tumbo limeniumaa ghafla naenda hospital
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Weka tu namba ya kuumwa madogo mnoUkishatuma naulii.....sorry dii sitaweza kuja leoo nimepata tumbo limeniumaa ghafla naenda hospital
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Bby ujue nn hapa nilipo naumwa,gesi imeishaa,Kodi imeishaa naomba unikopeshe laki 5 nitakurudishiaaWeka tu namba ya kuumwa madogo mno
Anakupa Mbususu?
Kufaaa mtu mwenyewe bahiliNaumwa baby siwezi hata kuamka njoo ghetto
Kama unampenda weka mikakati ya kumbadili baadhi ya tabia ambazo ni changamoto, anzisha utaratibu ambao utauweka kama mwongozo wa maisha yenu daily na nyote mnalazimika kuufuata.
Ni rahisi sana kumbadili kitabia ikiwa utaweza mshawishi akajifunza neno la mungu na ukamwekea mikakati ya kuliishi neno la mungu.
EwaaaaaaaaaaWeka tu namba ya kuumwa madogo mno
Jamani wewe mama ni atari moja, mi mwenyewe kama wataka pesa nenda kwa bakhresa mimi mwanaume mashine tu.
Kama anakupa mbususu bila ratiba oa huyo, bahati haiji mara 2
Kwa mtindo huo hyo mashine yako lazima ipate kutuJamani wewe mama ni atari moja, mi mwenyewe kama wataka pesa nenda kwa bakhresa mimi mwanaume mashine tu.
Nawe ni muuminiKama ana chura muoe....
Fungua PM mama tule maisha naona umehide PM section afu maisha yenyewe ndio haya.Kwa mtindo huo hyo mashine yako lazima ipate kutu
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ataipaka greaseKwa mtindo huo hyo mashine yako lazima ipate kutu
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkuu wewee muoe tu, Tabia mtatumia zako
Hamna, nimeona tu nimpe mwongozo....Nawe ni muumini