Nashindwa kumuacha aende

Kama unampenda weka mikakati ya kumbadili baadhi ya tabia ambazo ni changamoto, anzisha utaratibu ambao utauweka kama mwongozo wa maisha yenu daily na nyote mnalazimika kuufuata.

Ni rahisi sana kumbadili kitabia ikiwa utaweza mshawishi akajifunza neno la mungu na ukamwekea mikakati ya kuliishi neno la mungu.

Well said
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom