Mtu kutokuwa muaminifu kwa karne hii ni hatari sn kwan unaweza kufa kwa msongo uliochanganyka na maradhi.
mpotezee tu ,manake hana dalili yakubadirika ndo kwanza ameanza tongoza wengne(sio mwengne)hiyo ni hatari mrembo.
haya mambo yanauma sn ila ndo tujitahd kujipa mapenz wenyewe ili tuepuke maumivu,