kudai bila kuwa na nyenzo kunasababisha mdaiwa na mdai waanze kufikiri jinsi ya kumalizanahuyu hataki kukulipa hela zako anataka kukupa huduma kama malipo kwa kiasi cha fedha ulichotoa ni kiasi cha kumwambia tu jina la gesti na muda wa malipo lol!
kina dada wengine(nasisitiza wengine,wasije nitoa macho bure) hawanaga nia ya kulipa deni kwa kurudisha hela kuna mmoja nilimkopesha laki baada ya kunizungusha saana akaniambia 'we kaka wa wapi si tumalizane tu' ? laki tumalizane ? wakati enzi hizo kwa laki nachukua demu weekend nzima lol!kudai bila kuwa na nyenzo kunasababisha mdaiwa na mdai waanze kufikiri jinsi ya kumalizana
<br />kina dada wengine(nasisitiza wengine,wasije nitoa macho bure) hawanaga nia ya kulipa deni kwa kurudisha hela kuna mmoja nilimkopesha laki baada ya kunizungusha saana akaniambia 'we kaka wa wapi si tumalizane tu' ? laki tumalizane ? wakati enzi hizo kwa laki nachukua demu weekend nzima lol!
acha usharobaro na helaTumsifu yesu kristo wakuu!!kuna mdada mmoja 2nasoma wote chuo kimoja,kuna kipindi flani ilitokea akawa ameuwawa{kaishiwa pesa} akaja akantel nimkopeshe kiasi flan hvi kwa makubaliano kwamba aftr 2 wks ata2miwa na ndugu zake then angenirudshia,me nkamtoa kisela nkijua ni mwaminifu,cha kushangaza,ali2miwa pesa na ndugu zake,akawekewa na bumu bt me deni langu cjui ndo kalisahau au kaamua kunirusha?lakin cha kushangaza naogopa kumdai{ikumbukwe kwamba sio mpz wangu,ni m2 2 2metokea kufahamiana}nifanyeje wakuu,maana sa hz mwenyewe nimefulia kimtindo??
<br />Au easy way we nawe mkope jifanye unashida ela nying zaid ya ile uliyomkopa akikupa after cku kazaa unamrudishia kiasi kilicho zidi.
<br />Weka caller tune ya belle9 ya ukitaka ubaya dai chako then mbipu akipiga usipokee apate ujumbe wake.
<br /><br /><br />
<br /><br />
tatizo ni sister duu flani hvi,me nahofia nkimwambia,atansemea mbovu kwa marafk zake ukzngatia me na wao 2naheshmiana.
<br />Milele amina,<br />
Mkuu inaonekana unamtaka huyo binti (siwezi eleza zaidi)<br />
<br />
Try this:-<br />
Mpigie simu,mwamibe una shida kubwa sana<br />
na ungependa kupata kiasi flani cha hela toka kwake (mtajie ulicho mkopesha au zaidi,ntafafanua)<br />
with confidence,usiwe kama unamdai we mwambie tu unashida na kiasi hiko cha pesa.<br />
<br />
Reaction:-<br />
1.Kama umemwomba kiasi kile kile ulicho mkopesha na hela anayo basi <br />
uwezekano wa kukupa kiasi chote ni mdogo sana kama alikua anakutaka wewe (vice versa ya statement ya pili)<br />
Anaweza akupe kidogo,au akupige chenga kabisa.<br />
<br />
2.Ukiomba nyingi kuliko uliyo mpa,uwezekano wa kuhisi unashida kweli ni mkubwa sana,....<br />
Atajitahidi kufanya chochote kile ili atleast apate ile uliyo mkopesha,...<br />
Ikitokea kwa bahati mbaya akakupa zaidi ya kiasi ulicho mkopesha,chukua then baada ya week au siku chache tu<br />
mrudishie change yake,...(chukua yako,mrudishie uliyo ongeza wakati unamdai)<br />
<br />
Angalizo:-<br />
Yawezekana ni kweli kabisa hana hela,labda na yeye ina muuma sana kutokukulipa hadi mda huu<br />
na hana courage ya kukuambia jinsi alivo saivi.Huwezi kua na uhakika kwamba alipata hela kweli<br />
<br />
Kwa mfano,kuna binti nilimkopesha pia,ila mimi ni tofauti sioni aibu kudai kama najua nimekukopesha<br />
na sijakupatia hivi hivi tu,....<br />
Ila ilipo fika mda hakunipa,nikamfata na akanambia ntakupa,...zilikua chenga chenga tu<br />
nikakasirika kweli.<br />
<br />
Then,baada ya mda alinipa robo robo hadi deni likaisha,....<br />
<br />
Nilicho kuja kugundua ndugu yangu najuta hata kwanini nilimdai ingawa nami pia nilikua na shida kweli,..<br />
home kwao hawako fresh in the first place,na pia alipangiwa alichaguliwa udom na udsm,akaja udsm <br />
ila hela yake ikawa located udom,toka hapo ni matatizo tupu ili apate hela zake,....<br />
<br />
And for a girl,...trust me yuko kwenye hali ngumu sana na majaribu mengi mno hapa mjini to make the story<br />
short,....<br />
<br />
Kama huna haraka na hiyo hela the last option,...mchunie tu,..ila kua naye karibu ujue historia yake <br />
yawezekana hana wa kumsaidia maskini.
<br />Weka caller tune ya belle9 ya ukitaka ubaya dai chako then mbipu akipiga usipokee apate ujumbe wake.
Na we ni msomi kweli? Au unasomea chuo cha ugagula? Unadharaulika kwa maandishi yako na kamwe hutolipwa2nasoma aftr 2 wks ata2miwa kisem2 2 2metokea
<br />
<br />
tatizo ni sister duu flani hvi,me nahofia nkimwambia,atansemea mbovu kwa marafk zake ukzngatia me na wao 2naheshmiana.