Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Nashindwa kuipata hii picha: Mtu wa magwanda ya kijani - tuseme Nape au Chiligati au Hizza anahutubia jukwaani kwenye mkutano wa hadhara wa chama halafu FFU wanakwenda kumteremsha na kumtia mbaroni kwa sababu amepitiliza muda wa mkutano ulioruhusiwa!