GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,553
- 108,891
1. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka Kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiwa wanaingia Darasani wao sasa ndiyo Wawe wanawasalimia Wanafunzi Shikamoo.
2. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka Kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiwa Darasani wakimuona Mwanafunzi anafanya Fujo wawe wanamuacha hawampigi na badala yake wamchukue waende Kumnunulia Chips, Kuku na Soda.
3. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka Kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiwa Darasani wakisikia Mwanafunzi mmoja labda amejamba na Sauti ya Mjambo ikasikika na Harufu Kali ya Kijambo ikaanza Kutiririka na Kuserereka humo Darasani wakishamjua huyo Mwanafunzi wawe wanampigia Makofi mengi ya Kumpongeza na ikibidi hata wampe na Alama ( Marks ) za bure,
4. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka Kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiona Mwanafunzi kafanya Kosa basi badala ya Wao Kumchapa huyo Mwanafunzi wao ( Walimu ) ndiyo walale chini ili wachapwe Viboko na hao Wanafunzi.
5. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiwaona Wanafunzi wanafanya Ngono wasiwashtue au wasiwaadhibu bali wahakikishe tu wanawauliza kama wameishiwa ' Condom ' au wanatinduana / wanatiana ' Kavu Kavu / Minyama Ndani Minyama Nje '.
6. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wanapokuwa Maofisini mwao wakiwa wanakula Vyakula vyao basi kila Mwalimu awaite Wanafunzi wa Darasa lake na wawe wanakula nao Chakula na akimaliza awanunulie hao Wanafunzi wote Maji ya Kandoro.
7. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wahakikishe kila wanapokuwa wanasahihisha Mitihani ya hao Wanafunzi wawe wanakuwa nao na wahakikishe wanamuuliza Kila Mwanafunzi kuwa wanataka alama A au B katika matokeo yao?
Nawasilisha.
2. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka Kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiwa Darasani wakimuona Mwanafunzi anafanya Fujo wawe wanamuacha hawampigi na badala yake wamchukue waende Kumnunulia Chips, Kuku na Soda.
3. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka Kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiwa Darasani wakisikia Mwanafunzi mmoja labda amejamba na Sauti ya Mjambo ikasikika na Harufu Kali ya Kijambo ikaanza Kutiririka na Kuserereka humo Darasani wakishamjua huyo Mwanafunzi wawe wanampigia Makofi mengi ya Kumpongeza na ikibidi hata wampe na Alama ( Marks ) za bure,
4. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka Kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiona Mwanafunzi kafanya Kosa basi badala ya Wao Kumchapa huyo Mwanafunzi wao ( Walimu ) ndiyo walale chini ili wachapwe Viboko na hao Wanafunzi.
5. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wakiwaona Wanafunzi wanafanya Ngono wasiwashtue au wasiwaadhibu bali wahakikishe tu wanawauliza kama wameishiwa ' Condom ' au wanatinduana / wanatiana ' Kavu Kavu / Minyama Ndani Minyama Nje '.
6. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wanapokuwa Maofisini mwao wakiwa wanakula Vyakula vyao basi kila Mwalimu awaite Wanafunzi wa Darasa lake na wawe wanakula nao Chakula na akimaliza awanunulie hao Wanafunzi wote Maji ya Kandoro.
7. Walimu wote Tanzania ili Kuepuka kuanza Maisha mapya Kaburini kama Mwenzao wahakikishe kila wanapokuwa wanasahihisha Mitihani ya hao Wanafunzi wawe wanakuwa nao na wahakikishe wanamuuliza Kila Mwanafunzi kuwa wanataka alama A au B katika matokeo yao?
Nawasilisha.