TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Kiukweli serikali ya awamu ya tano chini ya JPM imefanya mambo makubwa sana katika nyanja ya kuboresha miundombinu na huduma za afya kitu ambacho kila mwananchi anatambua hilo bila ubishi.
Ila bado vijana wanaonekana kama kundi lililosahaulika ,japo ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inasema itashughulikia swala la ukosefu wa ajira kwa vijana lakini haionyeshi kama kuna matumaini mpaka sasa.
Kutokana na takwimu za kati ya mwaka 2013 hadi 2035 yaliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), yanaonyesha kuwa idadi ya vijana walio na umri wa miaka 15-35 mwaka 2019 itakuwa asilimia 34.6 ya watu wote nchini na inataongezeka hadi kufikia asilimia 35.6 mwaka 2025.
Ongezeko kubwa la vijana tena wasio na ajira ni tishio kubwa kwa taifa linalokua kwa kasi kwa technolojia na wingi wa wasomi wakiwapo mitaani.
Ila serikali inaweza kuamua kufanya kitu maana vijana ni takribani asilimia 35 ya wa Tz wote let say Tz ina watu 50Milion vijana wanakadiliwa kuwa 15Mil ukiwaweka kwenye mafungu wale graduates wasio na ajira watakuwa chini ya 15Milioni
Wazo #1:
Ss kama serikali imekuwa na mpango wa kuzinasibu kaya masikini kupitia mpango wake wa Tasaf ,nashauri mpango kama huo uanzishwe pia kwa vijana graduates wanaomaliza vyuo wasio na ajira wawe wanapata posho kama wale wa Tasaf.
Wazo namba #2
Kama serikali yetu imekuwa ikitoa billions za pesa papo papo kupitia mheshimiwa rais kujenga mahospital na ma barabara marefu nashauri itolewe japo billion moja tu yaani moja tu then wahesabiwe graduates wote wapewe semina ya biashara na ujasiriamali kutoka kwenye mabank then wakaparanganyike mitaani.
Hii ideology nadhani inatumika sana kwa nchi za wenzetu ndio maana wao wanajeuri ya biashara sabau serikali zao zinawa support kwa mikopo kama hii.
Wazo#3
Kila kaya yenye graduates hasiye na ajira ipatiwe ng'ombe wa maziwa au jike mmoja then serikali iwe inafanya follow kuhakikisha anaendelezwa.
Au nasema uongo wadau,je kuna atakayelalamika hapo?
Maana humu Jf watu wanalia kwa kukosa ajira mpaka huruma,haistaajabishi kuona graduate natafuta ajira mshaara chakula.
Ila bado vijana wanaonekana kama kundi lililosahaulika ,japo ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inasema itashughulikia swala la ukosefu wa ajira kwa vijana lakini haionyeshi kama kuna matumaini mpaka sasa.
Kutokana na takwimu za kati ya mwaka 2013 hadi 2035 yaliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), yanaonyesha kuwa idadi ya vijana walio na umri wa miaka 15-35 mwaka 2019 itakuwa asilimia 34.6 ya watu wote nchini na inataongezeka hadi kufikia asilimia 35.6 mwaka 2025.
Ongezeko kubwa la vijana tena wasio na ajira ni tishio kubwa kwa taifa linalokua kwa kasi kwa technolojia na wingi wa wasomi wakiwapo mitaani.
Ila serikali inaweza kuamua kufanya kitu maana vijana ni takribani asilimia 35 ya wa Tz wote let say Tz ina watu 50Milion vijana wanakadiliwa kuwa 15Mil ukiwaweka kwenye mafungu wale graduates wasio na ajira watakuwa chini ya 15Milioni
Wazo #1:
Ss kama serikali imekuwa na mpango wa kuzinasibu kaya masikini kupitia mpango wake wa Tasaf ,nashauri mpango kama huo uanzishwe pia kwa vijana graduates wanaomaliza vyuo wasio na ajira wawe wanapata posho kama wale wa Tasaf.
Wazo namba #2
Kama serikali yetu imekuwa ikitoa billions za pesa papo papo kupitia mheshimiwa rais kujenga mahospital na ma barabara marefu nashauri itolewe japo billion moja tu yaani moja tu then wahesabiwe graduates wote wapewe semina ya biashara na ujasiriamali kutoka kwenye mabank then wakaparanganyike mitaani.
Hii ideology nadhani inatumika sana kwa nchi za wenzetu ndio maana wao wanajeuri ya biashara sabau serikali zao zinawa support kwa mikopo kama hii.
Wazo#3
Kila kaya yenye graduates hasiye na ajira ipatiwe ng'ombe wa maziwa au jike mmoja then serikali iwe inafanya follow kuhakikisha anaendelezwa.
Au nasema uongo wadau,je kuna atakayelalamika hapo?
Maana humu Jf watu wanalia kwa kukosa ajira mpaka huruma,haistaajabishi kuona graduate natafuta ajira mshaara chakula.