The only JF-Expert Member May 19, 2011 10,433 13,417 Mar 3, 2022 #41 Ina maana unaamini ile tume iko huru tatizo watu.hii nchi ina vijana kama hawa mkosi huu
chiembe JF-Expert Member May 16, 2015 12,002 20,661 Mar 3, 2022 Thread starter #42 ostrichegg said: Kulinda kaburi kule Burigi? Click to expand... Kulinda maiti yako isiibiwe
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,515 20,005 Mar 4, 2022 #43 chinembe said: Hajanunuliwa, ni mzalendo sana na wananchi wanamuelewa, ni vile tu Mbowe alipewa bilioni mbili na Lowasa ili amuondoe Slaa asigombee Urais, Click to expand... Padri babu Slaa alichapwa vibao na ngingi la kihaya na kulazwa nje ya geti... Hafai kukaa meza moja na wanaume
chinembe said: Hajanunuliwa, ni mzalendo sana na wananchi wanamuelewa, ni vile tu Mbowe alipewa bilioni mbili na Lowasa ili amuondoe Slaa asigombee Urais, Click to expand... Padri babu Slaa alichapwa vibao na ngingi la kihaya na kulazwa nje ya geti... Hafai kukaa meza moja na wanaume
S semtawa JF-Expert Member Jul 25, 2012 960 973 May 3, 2022 #44 Mwacheni Hayati Dk. Magufuli apumzike. Mnakera sana kila siku kumjadili. Huu mradi wa maji aliuzindua Brussels?
Mwacheni Hayati Dk. Magufuli apumzike. Mnakera sana kila siku kumjadili. Huu mradi wa maji aliuzindua Brussels?