Namshauri mh. Rais Samia Suluhu Hassan amteue Dk. Slaa mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, uzoefu wake utaboresha utendaji wa Tume, na pia Tume itakuwa na uwakilishi wa nguli wa Siasa za upinzani Tanzania.
Wakati alishakubalinunulika na wanakijani kuaminika huku kunatoka wapi?Namshauri mh. Rais Samia Suluhu Hassan amteue Dk. Slaa mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, uzoefu wake utaboresha utendaji wa Tume, na pia Tume itakuwa na uwakilishi wa nguli wa Siasa za upinzani Tanzania.
Ulikuwepo wakipeana, au ndipo wanakijani walivyofikaHajanunuliwa, ni mzalendo sana na wananchi wanamuelewa, ni vile tu Mbowe alipewa bilioni mbili na Lowasa ili amuondoe Slaa asigombee Urais,
Wanahisi kuporwa tonge mdomoni bila kuwaongeza makada🤔Yaani tumekuwa tunakataa hiyo iitwayo tume kujazwa makada wa CCM nyie ndio mnataka kuendelea kuwaongeza?
Hajanunuliwa, ni mzalendo sana na wananchi wanamuelewa, ni vile tu Mbowe alipewa bilioni mbili na Lowasa ili amuondoe Slaa asigombee Urais,
Si kijani menzenu pambaneni ña hili zenuDr Slaa anaandaliwa kuwa makamu mwenyekiti wa CCM!
Ni mzoefu na msomi
Ukimteua wewe kwenye kamati Yako ya harusi itapendeza zaidi!Namshauri mh. Rais Samia Suluhu Hassan amteue Dk. Slaa mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, uzoefu wake utaboresha utendaji wa Tume, na pia Tume itakuwa na uwakilishi wa nguli wa Siasa za upinzani Tanzania.
Kwa mtazamo huo hautoweza kumwamini mwanasiasa yoyote katika dunia ya leo, maana wote waongo, wanafiki, walaghai na wachumia tumbo. Labda uwe mwepesi wa kuuza utu wako kwa sababu ya njaa yako. Mzee Slaa aliuona mapema mtazamo wa Lowasa na genge lake, ndomaa aliwahi mapema tu kukataa kufanywa boya na wachumia tumbo wengine wa chama.Wakati alishakubalinunulika na wanakijani kuaminika huku kunatoka wapi?
Kweli kabisaKwa mtazamo huo hautoweza kumwamini mwanasiasa yoyote katika dunia ya leo, maana wote waongo, labda uwe mwepesi wa kuuza utu wako kwa sababu ya njaa yako. Mzee aliuona mapema mtazamo wa Lowasa na genge lake, ndomaa a aliwahi kukataa kufanywa boya na wachumia tumbo wengine wa chama.
View attachment 2135374
View attachment 2135375
Kwa mtazamo huo hautoweza kumwamini mwanasiasa yoyote katika dunia ya leo, maana wote waongo, labda uwe mwepesi wa kuuza utu wako kwa sababu ya njaa yako. Mzee aliuona mapema mtazamo wa Lowasa na genge lake, ndomaa a aliwahi kukataa kufanywa boya na wachumia tumbo wengine wa chama.
View attachment 2135374
Wengine wanaaminika Kwa viwango vyao isipokuwa ccm hawaaminiki hata punje🏃♂️
View attachment 2135375
Chadema ilinunuliwa na Lowasa, kipindi hicho hakuna kada wa chadema aliyeruhusiwa kugombea Urais na umakamu, mgombea wao Lowasa alikuwa mwana CCM, mgombea mwenza alikuwa mwanachama wa CUFMtu kashindwa upadre,
Mtu kashindwa ndoa
Mtu Kashindwa kukaa CHADEMA.
Mtu kakimbiwaa na Nyumba ndogo.
Stress zote hizo, mwacheni apumzike kwa sasa., Mtamuua mzee wa watu.