minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,416
- 22,428
Aanze na vijiwe vya Masaki Oyestabay msasani Mikochen kawe kwa majaribioni tuonane ufanisi wake, vipi kuhusu watoto huko uswahilini kujikusanya kucheza pamoja watawakamata watoto au watawakamata wazazi waoKesho mmeambiwa na Makonda muandae askari wa kukamata watu wasio na kazi maalumu. Hivyo toa amri askari wawe wa kutosha, lakini muandae na madaktari humo mtakapowaweka wazururaji.