Le mutuz kalipwa pesa nyingi anadai kuwa anaenda kuleta waganga wa kienyeji waroge kwa nguvu kuzuia virusi visienee Tanzania, hivi ndivyo wajanja wachache hutafuta pesa za umma kupitia mgongo wa CCM.Hahaaa......huyu inatakiwa apigwe risasi mkuu
CCM badala ya kuchunguza mapungufu wasambaze Matangazo watu waache kukaa vijiweni vikundi watoto wadogo waache kucheza pamoja wamekalia kuleta usumbufu mitandaoni hawana hojaHIVI NI KWELI WATU HAWAELEWI HUU UZI AMA NDIYO UWEZO WETU WA KUFIKIRI ULIPOISHIA.?!
Ccm yamekua mauchafu na laana ya taifa...Le mutuz kalipwa pesa nyingi anadai kuwa anaenda kuleta waganga wa kienyeji waroge kwa nguvu kuzuia virusi visienee Tanzania, hivi ndivyo wajanja wachache hutafuta pesa za umma kupitia mgongo wa CCM.
Kabisa
Makonda anawajali sana watanzania wenzake.
Huna akiliKama kuna anaeweza kumpata naombeni ampatie hiyo link ya you tube .na sisi ni watanzania yupo ndani week ya Pili sasa .ugonjwa huu si wa kukejeli hata kidogo .ki ukweli Makonda anyamazishwe na hafai ku address hata nursery school kids . Siku hizi binadamu analosema hata akiwa wapi ajue anaiambia dunia nzima. Huyu Jamaa anatutia aibu watanzania.Binafsi kila akishika mic nahsi kwenda uani. Tusijidanganye kuwa sisi tuna immune ama ni wajanja ,siku ukipiga kambi mtajua maaana ya hili gonjwa. Ugonjwa ukikukaba mapafu yana collapse . Makonda asidhani unakuja kama gia ya ebora. Akiona 20 wanaendelea sawa hawezi kujua ukitua kwenye fragile group inakuwaje. His speech made me sick
Nimepokea kwa niaba ya Mr. Luqman MalotoMwandishi hongera sana, bali unastahili kuzawadia "Maturity Level 5" kwa uandishi wenye hoja takatifu na zilizopangika. Naomba unisajili kwenye "team" yako, tafadhali!
Ktk hao wagonjwa kuna ndugu zako au nawe ni mgonjwa?
Senti bai yuzingi tecno T301
na "0713" probably.........Pengine sio mdomo tuu
Jr[emoji769]