jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 21,689
- 41,849
Solidarity forever.
Kumekua na malalamiko mengi sana ya watumishi wa umma hasa waliochini ya OWM-TAMISEMI kunyimwa stahiki zao na haki zao za msingi kama fedha za kujikimu,uhamisho,fedha za likizo n.k
Hii hupelekea kukosa msaada kutoka kwa waajiri wao ambao wengi hawao hawawajari wala kuwazingatia watumishi wao,na wengi wamejaa viburi na jeuri.
Watumishi wengi wanaishi katika maumivu makali na manung'uniko na kukosa morali ya kazi.
Hivyo nashauri OWM-TAMISEMI isogeze huduma karibu kabisa na maeneo ya watumishi(ofisi za kanda) hawa mana wengi hushindwa hata kugharamia safari za DODOMA ili kuweza kufikisha malalamiko yako na changamoto zao ili kuweza kutatuliwa.
Naomba kuwasilisha.
Kumekua na malalamiko mengi sana ya watumishi wa umma hasa waliochini ya OWM-TAMISEMI kunyimwa stahiki zao na haki zao za msingi kama fedha za kujikimu,uhamisho,fedha za likizo n.k
Hii hupelekea kukosa msaada kutoka kwa waajiri wao ambao wengi hawao hawawajari wala kuwazingatia watumishi wao,na wengi wamejaa viburi na jeuri.
Watumishi wengi wanaishi katika maumivu makali na manung'uniko na kukosa morali ya kazi.
Hivyo nashauri OWM-TAMISEMI isogeze huduma karibu kabisa na maeneo ya watumishi(ofisi za kanda) hawa mana wengi hushindwa hata kugharamia safari za DODOMA ili kuweza kufikisha malalamiko yako na changamoto zao ili kuweza kutatuliwa.
Naomba kuwasilisha.