Habari,
Jamani tuache masihara, tusipoangalia maadili yataporomoka hivihivi, kuna usemi ulikuwepo enzi za nyuma kwamba penye watu 10, mmoja ana UKIMWI, lakini sasa tunakoelekea itakuwa ni kwamba; penye wanaume 10, basi mmoja ni shoga, sasa kabla hatuja fika huko, naomba ili kulinusulu taifa hili lenye neema kubwa; Naomba serikali iweke Mswada, Shoga yeyote atakayegundulika anjitangaza hadharani afungwe jela miaka 30 na viboko juu.Halafu sasa mengine yanajichetua bila hata kuogopa, halafu hivi wateja wao ni kina nani haswa maana kila mwanaume anawaponda sasa wateja huwa ni kina nani?
Jamani tuache masihara, tusipoangalia maadili yataporomoka hivihivi, kuna usemi ulikuwepo enzi za nyuma kwamba penye watu 10, mmoja ana UKIMWI, lakini sasa tunakoelekea itakuwa ni kwamba; penye wanaume 10, basi mmoja ni shoga, sasa kabla hatuja fika huko, naomba ili kulinusulu taifa hili lenye neema kubwa; Naomba serikali iweke Mswada, Shoga yeyote atakayegundulika anjitangaza hadharani afungwe jela miaka 30 na viboko juu.Halafu sasa mengine yanajichetua bila hata kuogopa, halafu hivi wateja wao ni kina nani haswa maana kila mwanaume anawaponda sasa wateja huwa ni kina nani?