Nashauri kuwe na barabara ya lami kutoka Kongwa - Kiteto - Simanjiro - Mererani, iungane na lami ya Mererani - KIA.
Barabara hii italichangamsha kiuchumi jiji la Dodoma. Pia ita wawezesha civil servants na wafanyabiashara kusafiri kwa urahisi kwenye route hiyo. Pia itapunguza gharama za chakula na maisha kwenye jiji hilo.
Barabara hii italichangamsha kiuchumi jiji la Dodoma. Pia ita wawezesha civil servants na wafanyabiashara kusafiri kwa urahisi kwenye route hiyo. Pia itapunguza gharama za chakula na maisha kwenye jiji hilo.