Nasaha kwa Wanawake

Nasaha kwa Wanawake

Hapa ndo nasaka nipo kwenye process za talaka

Hahahahah...yan huyu dada yetu uliemuoa siku hio hio uliyoonjeshwa ni shidaaa....sijui kwanin ila kila nikiona avatar yako naona usanii tu...inawezekana wote mmekutana
 
Hahahahah...yan huyu dada yetu uliemuoa siku hio hio uliyoonjeshwa ni shidaaa....sijui kwanin ila kila nikiona avatar yako naona usanii tu...inawezekana wote mmekutana

We utaniua na hiyo miguu yako brenda,mi siyo msanii mke anayesubiri talaka ndo msanii
 
Mwanamke akiwa kibri tafuta demu wa nje utapata ukimwi na utakuwa na amani na raha.UKOSE RAHA DUNIANI N MBINGUNI PIA mwanamke akisumbua jipange kumkomesha kwa kutafuta demu bomba zaidi yake hata usipokuwa na mahusiano naye ya kweli unachat nae hadi saa 6 usiku kwa mapozi makuu
 
Back
Top Bottom