Magane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 202
- 57
Nataraji kumuaga binti yangu natafakari maneno gani yanafaa siku hiyo bila ya kuwachosha na kukwepa boredom kwa wageni kwa hotuba ndefu.Naamini wana jamii mnaweza kunisaidia maneno ya hekima yenye mshiko na msaada kwa binti yangu kwa maisha yake ya ndoa.Tafadhali naomba mchango wenu wa nasaha.