Nasaha kwa binti yangu siku ya send off

Magane

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
202
57
Nataraji kumuaga binti yangu natafakari maneno gani yanafaa siku hiyo bila ya kuwachosha na kukwepa boredom kwa wageni kwa hotuba ndefu.Naamini wana jamii mnaweza kunisaidia maneno ya hekima yenye mshiko na msaada kwa binti yangu kwa maisha yake ya ndoa.Tafadhali naomba mchango wenu wa nasaha.
 
kiukweli sijui kama naweza kukuekea maneno mdomoni ama kukusemezesha ili uyatoe kama hotuba. to me naamin ili uweze kusema mbele za watu lazima uijue audience uliyo nayo na mwanao ni mtu wa aina gani. ukishajua wageni wako ni wa aina gani basi ili usiwachishe ongea kwa namna ambayo wao wanatazamia wewe uongee hilo usiseme uongo ila sema lile ambalo ni lakweli kwenye maisha basii.

mfano waweza kwenda na taa ya chemli ukaiwasha kisha ukampa mwanao ukamwambia mwanangu sina meng ya kukueleza ila kama uoanavyo taa hii inavyowaka basi nategemea wewe ukawe nuru huko uendako, kawashe nuru ya uendo, furaha, amani, busara , mafanikio, na ucha mungu. daima kumbuka kwamba watu huangalia matunda kutoka kwako kama hawaoni mataunda basi hawana haja na wewe...........Mungu pekee ndiye anae angalia moyo na daima sisi hatuwez kuusoma moyo wa mtu.

ukamaliza kisha ukakaa. Pia kumbuka maneno ya ukaumbini si kitu siku zote sema na mwanao chumban hadi akuelewe usimsukume kuhangaika kwa mafundi masaa yote bali mweke ndani sema nae juu ya maisha ya ndoa changa moto na furaha zake ki undani usimwache asijue kitu mweleze aamue yy kusuka ama kunyoa. usimtishe ila mweleze possibilities zote na mwambaie kabisa kuamua ni yy.
 
maadam ameamua kuolewa awe tayari kulala bila nguo!...ongezea hii kwenye hotuba yako!
 
Nataraji kumuaga binti yangu natafakari maneno gani yanafaa siku hiyo bila ya kuwachosha na kukwepa boredom kwa wageni kwa hotuba ndefu.Naamini wana jamii mnaweza kunisaidia maneno ya hekima yenye mshiko na msaada kwa binti yangu kwa maisha yake ya ndoa.Tafadhali naomba mchango wenu wa nasaha.
Binti yangu, suwasikilize watu wanaosema ndoa ni kuvumilaiana, si kweli. Kuvumilia ina maana kila linapotokea tatizo unavumilia, hiyo haitasaidia kuondoa tatizo. Tatizo likitokea, sema na mumeo ili mlitatue, ukivumilia matatizo yatawazoea na kwua sehemu ya maisha yenu. Ndoa si kuvumilia, bali kuelezana ukweli tatizo linapotokea.
 
maneno marefu yanachosha mno

kuwa short
nukuu biblia au quraan....

anza na hiyo nukuuu
hakikishani dakika tatu tu......

usimkeemeee.kuwa kind kidoogo

na umuage kwa maneno matamu hivi....
 
Aleleleleeeleeeeeeeeeeeee! Dada huyo!!! Anaolewaaaa! Kwanza nikupongeze kwa kukuza, malezi yamejibu warudishiwa heshima!!!! HAKIKA WASTAILI HONGRA!!!!!
Mi nakushauri kwanza ufanyie kazi hisia, sabubu chochote ukikisema kwa hisia watu watakikubali, ufike keti ulie kidogo, kigugumizi. (Mbinu za public speech)

Pili kabla ya wosia hakikisha kwanza UNAMSHUKURU BINTI YAKO KWA HISIA KALI!!! "Mwanangu kabla ya yote napenda nikushukuru kwa kunirudishia heshima mimi kama mama yako, kwa kujitunza mpaka umempata mwenzio kwenye hii dunia yenye vishawishi vingi. Umepambana mpaka mwisho na kunistiri mzazi wako! ( Kimya cha vikwikwi kidogo na chozi la kizushi)

Tatu mpe wosia mmoja tu wa maana. "Mwangu wewe nimekulea mwenyewe sina shaka lolote na wewe, najua ni binti mzuri, tabia zako nazifahamu ni za kuridhisha, wema na ukarimu uliokuwa nao hapa uende kuuendeleza huko pia, Mshike sana Mungu, lolote likikutatiza au kulifurahia jawabu utalipata kwa biblia!!! (Quote vifungu viwili vitatu) sisi wazazi wako tutakupenda daima!!! baaaaaaaasss

Ukimaliza hapo wapambe fasta fasta na khanga, huku dj akisababisha kitu cha NANI KAMA MAMA cha Boni Mwaitege, mnapiga na picha ya pamoja na mwanao huku mnafuta vichozi vya kishkaji( japo ulimlamba miko ya kutosha alivokuwa akileta za kuleta jikoni! lol!)
 
mwambie bintiyo kuwa mjenzi wa nyumba alikuwa na akili timamu,ndio maana akaweka mlango wa chumbani,bafuni,sebuleni na hatimaye geti la nje la nyumba,lengo halikuwa jingine bali yasemwayo chumbani huishia kwenye kitasa cha mlango,yakivuka yatakuwa yasebuleni,na yasebuleni lazima yaishie humohumo sebuleni!

Mwambie ulimi ni hatari,awe na mdogo!
 
Nadhani kipindi hiki bado yupo kwako ndio muda wa kumpa Nasaha jinsi ya kuishi vizuri na mume wake, siku ya Send off, mtatakie heri na mafanikio kwenye ndoa yake mungu amjalie kizazi kizazi bora.
 
Mkwe wako naye yuko humu anasoma. Akiona umebebelea taa tu, tayari kishakujua id yko. Atajaribu kukutongoza kwa pm kutest ka we ni mkwe material.
 
Lara1 safiii

Aleleleleeeleeeeeeeeeeeee! Dada huyo!!! Anaolewaaaa! Kwanza nikupongeze kwa kukuza, malezi yamejibu warudishiwa heshima!!!! HAKIKA WASTAILI HONGRA!!!!!
Mi nakushauri kwanza ufanyie kazi hisia, sabubu chochote ukikisema kwa hisia watu watakikubali, ufike keti ulie kidogo, kigugumizi. (Mbinu za public speech)

Pili kabla ya wosia hakikisha kwanza UNAMSHUKURU BINTI YAKO KWA HISIA KALI!!! "Mwanangu kabla ya yote napenda nikushukuru kwa kunirudishia heshima mimi kama mama yako, kwa kujitunza mpaka umempata mwenzio kwenye hii dunia yenye vishawishi vingi. Umepambana mpaka mwisho na kunistiri mzazi wako! ( Kimya cha vikwikwi kidogo na chozi la kizushi)

Tatu mpe wosia mmoja tu wa maana. "Mwangu wewe nimekulea mwenyewe sina shaka lolote na wewe, najua ni binti mzuri, tabia zako nazifahamu ni za kuridhisha, wema na ukarimu uliokuwa nao hapa uende kuuendeleza huko pia, Mshike sana Mungu, lolote likikutatiza au kulifurahia jawabu utalipata kwa biblia!!! (Quote vifungu viwili vitatu) sisi wazazi wako tutakupenda daima!!! baaaaaaaasss

Ukimaliza hapo wapambe fasta fasta na khanga, huku dj akisababisha kitu cha NANI KAMA MAMA cha Boni Mwaitege, mnapiga na picha ya pamoja na mwanao huku mnafuta vichozi vya kishkaji( japo ulimlamba miko ya kutosha alivokuwa akileta za kuleta jikoni! lol!)
 
Ushauri mzuri

kiukweli sijui kama naweza kukuekea maneno mdomoni ama kukusemezesha ili uyatoe kama hotuba. to me naamin ili uweze kusema mbele za watu lazima uijue audience uliyo nayo na mwanao ni mtu wa aina gani. ukishajua wageni wako ni wa aina gani basi ili usiwachishe ongea kwa namna ambayo wao wanatazamia wewe uongee hilo usiseme uongo ila sema lile ambalo ni lakweli kwenye maisha basii.

mfano waweza kwenda na taa ya chemli ukaiwasha kisha ukampa mwanao ukamwambia mwanangu sina meng ya kukueleza ila kama uoanavyo taa hii inavyowaka basi nategemea wewe ukawe nuru huko uendako, kawashe nuru ya uendo, furaha, amani, busara , mafanikio, na ucha mungu. daima kumbuka kwamba watu huangalia matunda kutoka kwako kama hawaoni mataunda basi hawana haja na wewe...........Mungu pekee ndiye anae angalia moyo na daima sisi hatuwez kuusoma moyo wa mtu.

ukamaliza kisha ukakaa. Pia kumbuka maneno ya ukaumbini si kitu siku zote sema na mwanao chumban hadi akuelewe usimsukume kuhangaika kwa mafundi masaa yote bali mweke ndani sema nae juu ya maisha ya ndoa changa moto na furaha zake ki undani usimwache asijue kitu mweleze aamue yy kusuka ama kunyoa. usimtishe ila mweleze possibilities zote na mwambaie kabisa kuamua ni yy.
 
Kama mumewe atakuwepo basi we chimba biti kali kwa huyo mumewe,

Mwambie hujamzalia punching bag hivyo ujinga ujinga against mwanao hupendi kabisa.

Ongea hivyo ukiwa ukekunja ndita na ngumi, halafu uwe pia unamnyooshea kidole huyo jamaa ukiwa.

Kwa kufanya hivi hutakaa usikie kesi au mashitaka kutoka kwa mwanao baada ya ndoa.
 
Aleleleleeeleeeeeeeeeeeee! Dada huyo!!! Anaolewaaaa! Kwanza nikupongeze kwa kukuza, malezi yamejibu warudishiwa heshima!!!! HAKIKA WASTAILI HONGRA!!!!!
Mi nakushauri kwanza ufanyie kazi hisia, sabubu chochote ukikisema kwa hisia watu watakikubali, ufike keti ulie kidogo, kigugumizi. (Mbinu za public speech)

Pili kabla ya wosia hakikisha kwanza UNAMSHUKURU BINTI YAKO KWA HISIA KALI!!! "Mwanangu kabla ya yote napenda nikushukuru kwa kunirudishia heshima mimi kama mama yako, kwa kujitunza mpaka umempata mwenzio kwenye hii dunia yenye vishawishi vingi. Umepambana mpaka mwisho na kunistiri mzazi wako! ( Kimya cha vikwikwi kidogo na chozi la kizushi)

Tatu mpe wosia mmoja tu wa maana. "Mwangu wewe nimekulea mwenyewe sina shaka lolote na wewe, najua ni binti mzuri, tabia zako nazifahamu ni za kuridhisha, wema na ukarimu uliokuwa nao hapa uende kuuendeleza huko pia, Mshike sana Mungu, lolote likikutatiza au kulifurahia jawabu utalipata kwa biblia!!! (Quote vifungu viwili vitatu) sisi wazazi wako tutakupenda daima!!! baaaaaaaasss

Ukimaliza hapo wapambe fasta fasta na khanga, huku dj akisababisha kitu cha NANI KAMA MAMA cha Boni Mwaitege, mnapiga na picha ya pamoja na mwanao huku mnafuta vichozi vya kishkaji( japo ulimlamba miko ya kutosha alivokuwa akileta za kuleta jikoni! lol!)

mwanamke wewe wafiti angle zote
 
kiukweli sijui kama naweza kukuekea maneno mdomoni ama kukusemezesha ili uyatoe kama hotuba. to me naamin ili uweze kusema mbele za watu lazima uijue audience uliyo nayo na mwanao ni mtu wa aina gani. ukishajua wageni wako ni wa aina gani basi ili usiwachishe ongea kwa namna ambayo wao wanatazamia wewe uongee hilo usiseme uongo ila sema lile ambalo ni lakweli kwenye maisha basii.

mfano waweza kwenda na taa ya chemli ukaiwasha kisha ukampa mwanao ukamwambia mwanangu sina meng ya kukueleza ila kama uoanavyo taa hii inavyowaka basi nategemea wewe ukawe nuru huko uendako, kawashe nuru ya uendo, furaha, amani, busara , mafanikio, na ucha mungu. daima kumbuka kwamba watu huangalia matunda kutoka kwako kama hawaoni mataunda basi hawana haja na wewe...........Mungu pekee ndiye anae angalia moyo na daima sisi hatuwez kuusoma moyo wa mtu.

ukamaliza kisha ukakaa. Pia kumbuka maneno ya ukaumbini si kitu siku zote sema na mwanao chumban hadi akuelewe usimsukume kuhangaika kwa mafundi masaa yote bali mweke ndani sema nae juu ya maisha ya ndoa changa moto na furaha zake ki undani usimwache asijue kitu mweleze aamue yy kusuka ama kunyoa. usimtishe ila mweleze possibilities zote na mwambaie kabisa kuamua ni yy.

bilateral kusahau.... Asante, Samahan, pole ni msaada tosha katika maisha ya kila Siku kwa mumewe na jamii imzungukayo.... asiaahau maneno hayo!
 
Back
Top Bottom