We dogo uko na ki Itel chako hapo kwenye makochi ya shemeji yako umebinua tako juu baada ya kuvimbiwa kiporo cha viazi na maharage unajambajamba Tu na unajiona mwamba sio ?hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa