NASA yafanikiwa kuikoa Dunia kuangikiwa na Kimondo(Asteroids)

hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
We dogo uko na ki Itel chako hapo kwenye makochi ya shemeji yako umebinua tako juu baada ya kuvimbiwa kiporo cha viazi na maharage unajambajamba Tu na unajiona mwamba sio ?
 
Acha ujinga wewe, unakoelekea utawaamini hao wanasayansi wakikwambia ukiwakabidhi mkeo utakuwa unaishi mbinguni na kwa ulivyo poyoyo utawakabidhi kweli....kuwa na kiasi kumuamini Binadamu.

Hao wanasayansi si ndiyo wengine walidai kwa uchunguzi uliofanyika umebaini Ke wanene duniani huzaa Watoto wenye akili sana kuliko Ke wembamba? Hata kwa akili zako za kuvukia barabara tu unakubaliana na huo upumbavu?

Amka usingizini wewe
Screenshot_20221014-120417.jpg
 
Mkuu acheni kuwafanya watu wajinga nyinyi,hvyo vimondo vinaanguka kila siku na Mungu mwenyewe alishaweka mifumo maalum ili hayo mawe yasidondokee dunia....Waambie hao jamaa zako hzo chai za mchana hatuzitaki,Yupo aliyeumba Mbingu na Dunia na yeye pekee ndiyo mlinzi wa hii Dunia.
Here...
Screenshot_20221014-120417.jpg
 
Ungejielimisha kwanza,huko duniani wameshaanza kuprint nyumba na unahamia ndani ya masaa kadhaa tu,hakuna mambo ya kupandisha zege sijui kuezeka,sasa sijui utasemaje hapo.
Achana naye mpumbav huyo na wajinga wenzake kuna technology kama AI , 3D printing , computer clouding hii ndio inaitwa 4th industrial revolution ,Hilo la nyumba kuwa printed ni kweli na ni real kabisa .
Watu hawalali wanasumbua akili zao kila sekunde kuja na innovation na scientific discoveries mpya kila siku .

Tunapoelekea huko wenzetu utakuta ni robot Tu na operator / technician mmoja ndio wapo site na wanajenga nyumba mpaka inaisha ,Hamna cha saidia fundi wala mbeba zege wala fundi uchwara .kazi mwanzo mwisho inafanywa na robot na labda mtu mmoja WA technical support Hivi vitu Kwa wenzetu vimeanza kabisa .
 
Napenda sana sayansi ila taarifa kama hii inanipa utata.

Kwani kabla ya NASA nani alikuwa anaokoa?.
 
Sasa anayeviruhusu hivyo vimondo vianguke ni Nani?
Mungu ameiumba dunia na wakati huohuo anailinda duniaSasa anailinda dhidi ya adui gani?..
Kwahiyo Mungu alishindwa kukizuia kile kimondo cha mbozi hadi kikaingia duniani?

Hakuna anayebisha kwamba dunia inaulinzi wake wa asili na dhidi ya vitu vitokavyo anga za mbali huko lakini haina maana kwamba sisi kama binadamu tukae tukibweteka

Embu jiulize hizi rocket na vifaa vingine vinavyoundwa na mwandamu vinavyoenda anga za mbali na kurudi duniani vikiwa salama ni kwamba mwanadamu anakuwa amemshinda Mungu hadi vinapita kwenye huo ulinzi wake????

Acheni sayansi isimame kama sayansi na imani zisimame kama imani mmekuwa wepesi sana kusifia imani zenu na kuponda sayansi mnasahau hivi vitabu tunavyosoma,spika na maika za kuhubilia zote ni faida za sayansi
Hawana akili hawa , yakiugua sijui huwa yanakaa Tu Chini na kumwomba Tu huyo Mungu wao , ? ,Ukisikia akili za ki pimbi ndio hizi
 
Hizo nyumba unazosema ni pre fabricated mzee unaenda dukani au kiwandani kuweka order mbali na hapo unambie nyumba inakua printed kwa printer ya 3D na akaishi mwanadam yenye kutosha hata minimum eneo la 100m² huo ni uongo.
Wewe ni mwehu , kama hujui vitu ni Bora uwe unakaa kimya .
Unajua hata 3D printing technology inavyotumika kujenga nyumba au unaropoka na kuandika pumba Tu hapa ?
Unajua Maana ya kitu kuwa pre fabricated wewe ?
3d printing inatumia robotic arm ambayo inazunguka katika angle tofauti tofauti Kwa kulay na kuspray concrete ( mchanganyiko WA mchanga ,cement na plaster ) inform of layers mpaka nyumba inakamilika ,si ajabu nyumba ya Boma kujengwa ndani ya masaa 24 ,ni kawaida kabisa .Hapo Hakuna cha tofali wala mbeba zege wala fundi wala mchanganya mchanga wala sijui nini .
Kazi iliyokuwa inafanywa na watu 30 Kwa wiki kadhaa inafanywa na mtu mmoja / wawili ndani ya masaa 24 .
Ninyi watoto hizo simu zenu huwa mnazitumia kuangalia porn na umbeya Instagram Tu , vichwa empty
Ficha upumbav wako
 
Acha ujinga wewe, unakoelekea utawaamini hao wanasayansi wakikwambia ukiwakabidhi mkeo utakuwa unaishi mbinguni na kwa ulivyo poyoyo utawakabidhi kweli....kuwa na kiasi kumuamini Binadamu.

Hao wanasayansi si ndiyo wengine walidai kwa uchunguzi uliofanyika umebaini Ke wanene duniani huzaa Watoto wenye akili sana kuliko Ke wembamba? Hata kwa akili zako za kuvukia barabara tu unakubaliana na huo upumbavu?

Amka usingizini wewe
Akili kama yako halafu mimi ndio Mwigulu, kwanini nisikuongezee tozo mpaka upauke kama kipande cha muhogo...
 
Na wewe punguza kuwaskiliza sana wazungu bab utapotea....Hii Dunia ina mwenyewe na anajua kila kitu kinachoendelea,halali wa hasinzii...kila kitu kinakwenda kama alivyopanga.
Katika moja ya matabaka ya anga lipo tabaka Mungu kaliweka maalum kwa ajili ya kuikinga Dunia dhidi ya mawe design hyo yasiiangukie Dunia...ni mfumo tayar UPO na uliwekwa tangu Mungu anaumba hii Dunia
Mbona wewe umewasikiliza na ukaamua kuvaa nguo, au kwenda hospitali na shule, na sasa unabonyeza bonyeza simu janja..
Ungewapinga tu na kuamua kuvaa magome ya miti, kujifukiza na kucheza ngoma masaa 24....
 
We dogo uko na ki Itel chako hapo kwenye makochi ya shemeji yako umebinua tako juu baada ya kuvimbiwa kiporo cha viazi na maharage unajambajamba Tu na unajiona mwamba sio ?
Jenga hoja! Majibu yako yanaonesha ni jinsi gani kichwani uko empty! Lugha yako ina reveal uhalisia wako,pole sana coz hunijui! Toa hoja acha matusi mazafanta
 
Nassa wanajitekenya wenyewe wanacheka wenyewe sasa yule bibiangu kule malinyi morogoro ataamini vipi hollywood yao hii mpya waliyotengeneza?

Ina maana Hawa wamarekani wanatupenda sana wana ulimwengu sisi kiasi cha kutuepushia tusiangukiwe na kimondo?

Mabwege hao wangeacha kituangukie ili tujue ni wakweli

Yani wanadhani Mungu analala usingizi hawa wehu, hii dunia yupo mwenye dunia yake haijatokea tu yenyewe kama kinyesi kwenye wo! wo! wo! zao
 
NASA(National Aeronautics and Space Administration) imefanikiwa katika jaribio la kungonganisha sattelite ya DART(Double Asteroid Redirection Test) ikiwa katika mwendokasi wa mita 14,000 kwa saa, na kimondo cha Didymos(Dimorphus) chenye ukubwa wa eneo la mita 160 , na kuweza kukiyumbisha na kibadilisha muelekeo kwa muda zaidi ya nusu saa, endapo kama kingekuwa kinaelekea kuangukia katika sayari ya Dunia.

Hii hatua kubwa katika ulinzi wa sayari ya dunia endapo kama kutakuwa na tishio la kimondo kinachoelekea kuangukia sayari yetu na kusababisha maafa.

Kwa maana hiyo, taarifa za kisayansi zilizokusanywa kutokana na mafanikio haya kitasaidia kutengeneza kombora lenye uwezo mkubwa wa kuweza kugongana na kimondo na kukitoa kwenye muelekeo wa kuangukia sayari ya dunia.....(NASA)

View attachment 2384214
View attachment 2384215

View attachment 2384216
View attachment 2384217
Hawa wasanii kweli. Dunia inauwezo mkubwa mno wa kujilinda yenyewe.
Hako kadubwasha hakawezi kulisukuma jiwe kubwa lenye kujiendesha lenyewe.
Hii ni kiki tu wanataka.
 
Hata kipindi icho wanasanyansi wanasema mtu na mtu watawasiliana kwa sauti wakiwa mbalimbali kuna vilaza kama wewe walisema ni uongo
Nyie ndo bendera fuata upepo.
Hivi kesho wakikuambia wanataka kuihamisha dunia au mwezi kutoka katika mzunguko wake utawaamini?
 
Back
Top Bottom