Napoteza kibarua changu msaada tafadhali

Hureeee! NIMEFANIKIWA wakuu... Nashukuru sana kwa msaada wenu wa hali na mali kwa jinsi mlivyo jitolea kunisaidia..

Mzalendo80,Mtazamaji,Crashwise,Payuka, na wengine wote mlio changia kwenye Thread hii, Mungu awabariki.Kwa yote,sina cha kuwalipa,bali Mungu atawalipa kwa njia msiyoijua...

Wenye umeme wameuchukua tayari, nilikuwa sijamaliza kuhamisha mafile yangu ndio nimepakia li Desktop langu kwenye gari kulekea sehemu yenye umeme ili nimalizie kazi yangu maana Report inahitajika kesho asubuhi...


I wish mnge kuwa karibu angalau niwashukuru kwa kinywaji na nyama choma, hope tutakutana kwanjia nyingine.

Kwa kweli nahisi nimepoteza zaidi ya kilo 2 kutokana na ili tatizo, na nimejifunza mengi sana..

Natamani kuendelea kuandika ila maneno ya meniishia, nadhani hii Thread itakuwa msaada kwa wengine.

Usiku mwema wakuu...
 
Hureeee! NIMEFANIKIWA wakuu... Nashukuru sana kwa msaada wenu wa hali na mali kwa jinsi mlivyo jitolea kunisaidia..

Mzalendo80,Mtazamaji,Crashwise,Payuka, na wengine wote mlio changia kwenye Thread hii, Mungu awabariki.Kwa yote,sina cha kuwalipa,bali Mungu atawalipa kwa njia msiyoijua...

Wenye umeme wameuchukua tayari, nilikuwa sijamaliza kuhamisha mafile yangu ndio nimepakia li Desktop langu kwenye gari kulekea sehemu yenye umeme ili nimalizie kazi yangu maana Report inahitajika kesho asubuhi...


I wish mnge kuwa karibu angalau niwashukuru kwa kinywaji na nyama choma, hope tutakutana kwanjia nyingine.

Kwa kweli nahisi nimepoteza zaidi ya kilo 2 kutokana na ili tatizo, na nimejifunza mengi sana..

Natamani kuendelea kuandika ila maneno ya meniishia, nadhani hii Thread itakuwa msaada kwa wengine.

Usiku mwema wakuu...

Tuiombee na kuichangia Jamii Forums idumu, hakuna linaloshindikana, tunajifunza mengi sana.
 
Hureeee! NIMEFANIKIWA wakuu... Nashukuru sana kwa msaada wenu wa hali na mali kwa jinsi mlivyo jitolea kunisaidia..

Mzalendo80,Mtazamaji,Crashwise,Payuka, na wengine wote mlio changia kwenye Thread hii, Mungu awabariki.Kwa yote,sina cha kuwalipa,bali Mungu atawalipa kwa njia msiyoijua...

Wenye umeme wameuchukua tayari, nilikuwa sijamaliza kuhamisha mafile yangu ndio nimepakia li Desktop langu kwenye gari kulekea sehemu yenye umeme ili nimalizie kazi yangu maana Report inahitajika kesho asubuhi...


I wish mnge kuwa karibu angalau niwashukuru kwa kinywaji na nyama choma, hope tutakutana kwanjia nyingine.

Kwa kweli nahisi nimepoteza zaidi ya kilo 2 kutokana na ili tatizo, na nimejifunza mengi sana..

Natamani kuendelea kuandika ila maneno ya meniishia, nadhani hii Thread itakuwa msaada kwa wengine.

Usiku mwema wakuu...

Powa dats what we do!afu chukua hii tip. Ukipata tatizo lolote weka hiyo Error msg kwenye google utapata soln.Niliweka hiyo yako and it turns out that there are people who had the problem like u'rs before.Afu inaonesha kwamba HD yako imekaribia kufa kimoja(SMART error) Anza kutafuta replacement na data zako unazoziweka hum0 uwe na copy yake.
 
Habari ya siku mingi wana JF ? nimepotea kwa mda kidogo kutokana na majukumu...


Wakuu jana usiku nilikuwa officen napiga job, akaja mafanyakazi mwenzangu akaomba afungue flash yake kwenye laptop yangu, nilimpa na baada ya kuichomeka nilisikia mlio flani hivi toka kwenye motherboard ya laptop yangu.... alipo maliza kazi yake nilirudi kuendelea na kazi zangu... ghafla ilikuja blue screen ikiniambia ni shutdown mashine yangu mara moja, hapo hapo


Face the problem dont try to blame on your friend's USB. Dont be like end users who sometime they do something and they dont say wht they have done before things went wrong or they blame it on others

From error message its HDD hardware failure. The probability of HDD failure being caused by just inserting USB even if it had Virus is very very very minimal. And dont tell us u did not have an antivirus installed

If its true that the problem started as your friend inserted his/her usb then is just a coincidence that problem happened at the same time

other wise tell us if it fell down.People should be honest when explaining problem. One time My Toshiba fell down and the only thing that was defective was hard disk. I had to replace it.

Be professional and be ethical
 
Tuiombee na kuichangia Jamii Forums idumu, hakuna linaloshindikana, tunajifunza mengi sana.

Ni kweli kabisa mkuu... Nita wasiliana na Melo angalau tuweze kuchangia huu mtandao...Hata hivyo ili jukwaa limepooza sana tofauti na kipindi cha nyuma, na hii imetokana na watu kupewa msaada hapa na kutokomea kimya kimya pasipo kutoa feedback, kitu ambacho kina katisha tamaa kwa mtu kupoteza mda wake kwa kumsaidia mtu ambaye ana shukrani...
 
Kwanza chomoa hard disk yako, chukuwa hiyo laptop iliyobaki, tafuta robo lita ya mafuta ya taa, kiberiti kizuri, mwagia mafuta ya taa kwenye hilo laptop, washa kiberiti, ichome moto. Rudi nyumbani lala na sahau kabisa hilo jambo, siku ya pili nenda kazini kaombe laptop mpya, waeleze step by step ulivyofanya na kwa nini unahitaji laptop mpya.

Ukifukuzwa kazi, nitafute.

They bad thing am sure u dont know about yourself is that you are mentally retarded . the good thing thougs is that u can type and click on the computer.. So u re braviest among the mentally challenged.

 
Powa dats what we do!afu chukua hii tip. Ukipata tatizo lolote weka hiyo Error msg kwenye google utapata soln.Niliweka hiyo yako and it turns out that there are people who had the problem like u'rs before.Afu inaonesha kwamba HD yako imekaribia kufa kimoja(SMART error) Anza kutafuta replacement na data zako unazoziweka hum0 uwe na copy yake.

Ni kweli mkuu, pia nilipo kuja kutafuta msaada hapa wengi watanufaika kwa njia hii pia...
 
jambo wapendwa;
Bila shaka nitaanza na nilivyo kuelewa juu ya suala lako.
Baada ya computer yako kua na tatizo hilo umeamua kutumia hhd hiyo kwenye computer nyingine lengo ikiwa ni kupata Data zako... lkn unapo hitaj kufungua file kutoka kwa drive hiyo.. unapata error message isemayo

"G:\Document and settings.Carthbert
Is not accessible.
Access denied.


"G:\Document and settings.Carthbert
Is not accessible.
Access denied.
...........................
kama ndivyo hivo,,, Hiyo inatokana na security parmission za hiyo computer nitofauti na ile yenye matatizo ... kutokana pia na account.
Hivo bac. . Hiyo pia inaweza tokea pindi ume fanya mounting of operating system na drive moja ukaiformat na nyingine yenye data muhim hukuiformat,, hivo bac lazima utahitajika KUIPA PARMISSION ili yule user huyo aweze access file hilo.,

Yafuatayo yanaweza saidia tatua tatizo hilo:
Fungua Drive yako, Chagua folder ambalo unahitaji kulifungua, kabla ya kulifungua, Ktk menu bar kuna sehem imeandikwa "Tools", Click Sehem hiyo> Then .. select Folder Options> Itatokea Wizard> Select View> then Kutatoke List of options ,, Under Advanced Setting..Shuka chini Unaona sehem imeandikwa,, Use simple files shairing (recommended).. Ondoa tick,

ranco 1.jpg

Baada ya Hapo... Chagua folder unalo hitaj fungua. fanya yafuatayo:
Right click the folder>Properties> then Select Security from the next Wizard> Then Select Advanced , > Then Window nyingine itatokea, On the MENU BAR select OWNER, Utaona List ya user ambao wapo kwa hiyo computer chagua user ulie mtumia ku login kwa computer yakoi hiyo. Then Chini yake kuna sehem imeandikwa REPLECA OWNER ON SUBCONAINERS and objects. Weka tick hapo, then APPLY. Then wait for sometime .. After the process end, press OK.

ranco 2.jpg


Ikiwa umefanikiwa kuacess DATA ZAKO....

Tatizo la Bruescreen of dearth is to repair your HDD,
Leongo langu Ni Uweze kufungua data zako, Ahsanta.
Bila shaka bado tupo pamoja kuelimishana kama umefanikiwa Rudisha majibu kama laa pia rudisha majibu!
Hivyo nikutokana na namna nilivyo elewa tatizo,,,
Otherwise kama hiyo ndio shida yakoa na umehisi taabu kufuata maelekezo hayoo, email: rancotz@hotmail.com
 
Mkuu,, kama upo mitaa ya posta kesho asubuh nipo karibu na SUKAR HOUSE .... may be nikiwa nayo mikonon nitajua lakufanya uweze pata data zako... . Call: 0786303051. Saa 2 nakua mitaa ile. Free service my bro....
Unajua unaposema KIBARUA KITAOTA NYASI,,,, Hapatoshi tena hapo,
 
Daaaa! kumbe umesha fanikiwa,, Hongera sana wadau,,, Unaonaje Utwambie iumefanya nini hadi ukafanikiwa.. Ukiaza na tatizo, na namna ulivyo fnaya kutatua tatizo..
 
Bw Carthbert pole sana, lakini hujasema upo wapi!

HDD ya laptop yako yawezekana imeungua au imecorrupt kwa sababu ya malicious programs zilizovamia kompyuta yako tangu siku nyingi zilizopita. Malicious program zina uwezo wa kubadilisha attributes za bootable disk kuwa non bootable au kwa namna yeyote ile.

Solution kwa hiyo ni kurecover data zako muhimu za kwenye desktop, my documents, my sharedocuments kama zipo na data na custom folders ulizoziweka kwenye partition hasa ya kuboot, watu wengi huweka boot partition kuwa ni "C:". Backup data zako kwenye DVD, CD flash au external hard disk.

Halafu huyo mtaalam aondoe partion(s) hiyo (kwa maelezo yako aondoe zote kama zipo zaidi ya moja kwani mara nyingi hiyo ikitokea huwa partitions zina overlaps na hazitaweza kufanya kazi kwa hali hiyo) Solution ni kuondoa zote na kuunda upya.

OS iwekwe upya na laptop yako itarudi kwenye normal

Ikitokea HDD imeungua, hamna ujanja ni kuibadilisha na kuweka nyingine
 
Daaaa! kumbe umesha fanikiwa,, Hongera sana wadau,,, Unaonaje Utwambie iumefanya nini hadi ukafanikiwa.. Ukiaza na tatizo, na namna ulivyo fnaya kutatua tatizo..

Mkuu, Asante kwa ushauri wako, nilitumia option uliyonieleza hapo juu ambayo tayari Mzalendo80, alikuwa amenielekeza kufanya hivyo (angalia page ya 1 na 2... Nilifuta hayo maelezo mara ya kwanza nikachemsha ya pili ndugu mzalendo80, akajitolea kunipigia simu tena toka nje ya Bongo na kunielekeza step moja baada ya nyingine na hatimaye nilikuja kufanikiwa kufungua flolder usika ambalo lilikuwa na data zangu...

Na washukuru sana wadau wote kwa jinsi mlivyo jitolea kunisaidia Mungu pekee ndiye anajua ni kwa kiasi gani nilikuwa kwenye wakati mgumu...

Na hatimaye sasa naelekea kukabizi report yangu.
 
Hureeee! NIMEFANIKIWA wakuu... Nashukuru sana kwa msaada wenu wa hali na mali kwa jinsi mlivyo jitolea kunisaidia..

Mzalendo80,Mtazamaji,Crashwise,Payuka, na wengine wote mlio changia kwenye Thread hii, Mungu awabariki.Kwa yote,sina cha kuwalipa,bali Mungu atawalipa kwa njia msiyoijua...

Wenye umeme wameuchukua tayari, nilikuwa sijamaliza kuhamisha mafile yangu ndio nimepakia li Desktop langu kwenye gari kulekea sehemu yenye umeme ili nimalizie kazi yangu maana Report inahitajika kesho asubuhi...


I wish mnge kuwa karibu angalau niwashukuru kwa kinywaji na nyama choma, hope tutakutana kwanjia nyingine.

Kwa kweli nahisi nimepoteza zaidi ya kilo 2 kutokana na ili tatizo, na nimejifunza mengi sana..

Natamani kuendelea kuandika ila maneno ya meniishia, nadhani hii Thread itakuwa msaada kwa wengine.

Usiku mwema wakuu...

Vizuri sana kwa kutuletea mrejesho (feedback).
Soma hapa chini uelewe ninachomaanisha

https://www.jamiiforums.com/technol...very-important-mrejesho-ni-muhimu-sana-2.html
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom