kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Napongeza matumizi ya neno "Watanganyika" msamiati unaokua kwa kasi kwa sasa kuliko kutumia neno "Watanzania".
Wenzetu visiwani ni ngumu sana kuacha neno ZANZIBAR au Mzanzibar ni ngumu kwa wao kujiita Mtanzania ila sisi tumeng'ang'ana na huo msamiati wa utanzania usio na faida huku tukisahau kuwa Tanganyika iliuawa mnamo tarehe 26/04/1964
Lazima Tanganyika yetu irudi kwa gharama zozote zile, sisi sio watanzania bara noo sisi ni watanganyika, sisi ni wazanzibar, hivyo ndivyo inavyopaswa kutumika
Wenzetu visiwani ni ngumu sana kuacha neno ZANZIBAR au Mzanzibar ni ngumu kwa wao kujiita Mtanzania ila sisi tumeng'ang'ana na huo msamiati wa utanzania usio na faida huku tukisahau kuwa Tanganyika iliuawa mnamo tarehe 26/04/1964
Lazima Tanganyika yetu irudi kwa gharama zozote zile, sisi sio watanzania bara noo sisi ni watanganyika, sisi ni wazanzibar, hivyo ndivyo inavyopaswa kutumika