Napitia katika changamoto kubwa

Dada Tunaomba mrejesho. Kuna maneno hapa yapo.
 
Sasa hivi naona kama umri unaenda sana hivyo nahofia kukosa mtoto kabisa. Tatizo kubwa nililonalo ninapenda sana watoto na kwa sasa namhitaji kuliko ninavyoweza zungumza.
Du pole sana unapatikana wapi? Mmmmmh nimekuonea huruma njoo nikupe hitaji la moyo wako
 
Unafunga novena ili upate Mume! Unapomuomba Mungu afu unampangia muda na matamanio yako jua tu Mungu hayupo hivo kabisa. Acha kunung’unika na tunza usichana wako. Mume atakuja maana kama umeamua Kumshirikisha Mungu basi jua Mungu hawahi wala hachelewi. Kamwe usitumie akili zako na fahamu zako na hayo ndiyo yanaleta mkwamo kwako.

Akili yako inapoishia ndo Mungu anapoanzia naona hutaki kukubali kwamba subiri. Kuna siku utaomboleza ukiendelea namna hiyo. Afu kufunga sio issue. Nashauri utubu na uhojiane na Mungu Isaya 45:11 kama ombi la kazi kakupa basi vumilia hata iwe 40 uwe mvumilivu mpaka kufa
 
Kila Jambo na wakati wake, ukija kujua kuwa hadi ulipo hapo mzima, unatype kwa raha kabisa ni kwa sababu hukuwa na mtu hutoona umechelewa kitu na utasubiri kwa upole, endelea na mengine huenda mtu wako uliyepangiwa na Mungu ana majukumu mengine akimaliza atakuja na utakutanishwa naye. Ukiwa mnyenyekevu sana na mtii kwa Mungu atakufunulia ndotoni.
 
Una tatizo kwenye r na l au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…