Napitia katika changamoto kubwa

Sasa hivi naona kama umri unaenda sana hivyo nahofia kukosa mtoto kabisa. Tatizo kubwa nililonalo ninapenda sana watoto na kwa sasa namhitaji kuliko ninavyoweza zungumza.
I understand your pain. Yupo mmoja alifanya kama wewe akaja kumpata mwanaume at 38 tena asiyeeleweka mpaka akaingia menopause. Mpaka kesho hana mume na hana mtoto.
 
Mungu anayo majibu ya maswali yako na shida zako.
Sisi hapa JF tunaongea kwa interest flan. Tafuta spiritual solution. U need to go deeper on God. All in all nakuombea,nna rafiki yangu ana issue kama yako...tulimwomba Mungu soon anaolewa.
 
Weka picha yako please kuna kitu nahisi hakipo sawa
 
Usillie Mungu amesikia kilio chako kanileta mimj niwe mkombozi wako..... Njoo pm mama come to papa
 
Aisee to be honest dada nineguswa na nyuzi yako hivyo nakuja pm kazi ni kwako

Mm sina rules wala nini
 
Sasa hivi naona kama umri unaenda sana hivyo nahofia kukosa mtoto kabisa. Tatizo kubwa nililonalo ninapenda sana watoto na kwa sasa namhitaji kuliko ninavyoweza zungumza.

Pole sana, kama ulichoeleza hapo juu ni sahihi (yaani hujatunga) nafahamu wakati unaopitia! Nimeshaona watu wa aina yako wanakuwa na wakati gani. Wakati naanza kazi kuna dada mmoja alikuwa na hali kama yako, ki ukweli kazi zilikuwa haiendi na alikuwa akiona mwanaume yuko single anahisi ndo Mungu kajibu ombi lake. Nakumbuka namna alivyoning'ang'ania lakini kila mara nikawa naishia kumpa moyo na kumshauri kwa sababu nisingeweza kufanya chochote kwake kwani alikuwa mkubwa kwangu na hakuwa aina ya ninayemuhitaji!
Kifupi nafahamu upweke ulionao kwa sababu nimeshawaona watu wa aina hiyo na mateso ya kisaikolojia na kihisia wanayo yapata!
Ushauri wangu kwako: Endelea kuvumilia tu na usijionyeshe saaana kwa watu (hasa wanawake ) kwamba unahitaji mwanaume kwa hali na mali! Vizuri umesoma naamini unajielewa na unaelewa madhara ya kuchukua maamuzi wa kukurupuka!

Tumia hekima iliyojaa uvumilivu kuhifadhi hisia zako kwa mwanaume hasa unapoongea na mwanamke mwenzio. Lakini unapokuwa na mwanaume, kama ni aina ya wanawake wenye maringo (maana wapo pia) jitahidi sana kuwachangamkia wanaume na akitokea wa kutaka kutoka na wewe, kwa vile shida yako kwa sasa ni mtoto na kukidhi hitaji lako la kihisia usikwepe kwepe sana!! kikubwa jihakikishie usalama wa afya yako kwanza...ukishapata mtoto faraja itakujaa tele na hutoona kama umepungukiwa chochote

Kwa ushauri zaidi waweza kuniona PM
 

Wazazi na wanajamii wanaweza kukupa stress kweli, lakini ukiwa mtu unayejielewa haitakiwi kukusumbua maana watu wenye umri wako na hawajaolewa wapo wengi. Usikate tamaa, fanya yako ila kama kweli unatabia ya kupiga piga chenga au kauli tata kwa wanaume ni vema ukaziacha wanaume siku hizi hatupendi ussumbufu usikuwa na maana
 
Mungu anachukia Manung'uniko anataka tuombe bila kukoma. Uliomba kazi au mume,lakini uliomba kazi zaidi na Mungu amekupa kazi. Endelea kuomba mume zaidi utampata ufurahi.
 
Dada acha kukata tamaa,kuna wenye umri zaidi yako na bado wana matumaini.Mungu ni mwaminifu endelea kumwomba
 
Reactions: Cyb
Usipaniki kabisa,tulia na endelea kusali huku unakula vizuri,vaa vizuri na anza kutoka out na nenda kwenye baa,au klabu za hali ya juu.jitahidi kusavu pesa ununue gari yako na uwe unatoka,kila siku muombe mungu akukutanishe na mmeo na nakuhakikishia mmeo yu karibu mbele ya uso wako
 
Hivi kwani kuzaa watoto ni lazima??
Kuoa/ kuolewa ni lazima??
Miafrika inapenda kukopi kopi maisha ya ancestors wao bila kureason
 
Mind you, kuolewa na kuzaa ni majaaliwa ya Mwenyezi...kama kweli wewe ni muumini
 
Yanayokuletea matatizo ni haya:
1.Una haraka sana
2.Wewe ni social oriented,yaani unasikiliza watu na kutaka kutimiza matakwa yao,eti utaolewa lini!!
3.Huna akili,kwa mfano hujui jinsi ya kumpata mchumba yaani umekaa tu kama gogo unasubiri wanaume waje!!
 
Mimi niko desperate na kupata hela nyingi kwa kuwa hapa duniani kuna vitu viwili tu vinavyoweza kumpa mtu furaha ya kudumu:
1.Hela na
2.Upendo
 
Iv nao wanawake nao hupitia magumu kiasi hki!

Umepigana na ushindi wako haupo mbali wakati kama huu ndio MUNGU hutoa majibu yako ila kua makini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…