democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
kwa mbai naiona hoja
Sasa naomba nisaidie, umesema huu ni mpango uliopangwa na EL na wafuasi wake, sasa unapata wapi ujasiri kuwa CDM ikiapeal haki itapatikana? Binafsi naona hata mahakama imeshatekwa nyara hasa ukizingatia hukumu ya kesi ya mgombea binafsi na hii ya Ubunge wa Arusha mjini, kwahiyo mie naona haki haiwezi tena kupatikana mahakamani bali ni kuelekea kwenye uchaguzi. Lema apewe majukumu muhimu ktk chama maana ameonesha kuwa ni mpiganaji aliwachanganya hata wale wanaojiona ndio wamiliki wa nchi hii. Anaweza kutumika kama anavyotumika Dr Slaa sasa, iundwe program ya kuelimisha jamii kama vile operation sangara halafu iwe chini ya Lema hapo mtashuhudia enzi mpya ya Godbless Lema mwenye mafanikio ya juu kabisa.KWA kwa mujibu wa HUKUMU LEMA haruhusiwi kugombea. Embu soma vizuri kipengele cha kwanza cha post yangu nilicho kiandika MOJA
Kama Chadema wanaamini kwamba mahakama zetu hazitendi haki na hazipo huru kwanini wao hupeleka kesi au mashitaka huko?
Kulingana na Wanasheria , wakate rufaa ndio njia sahihi.
habari toka ndani ya chadema zinasema kuwa wanakwenda arusha kuwapa fulsa wananchi wa jimbo la arusha mjini waamue wao kipi bora kifuate kati ya kukata rufaa au wakubaliane na hukumu uchaguzi urudiwe
naomba kuwasilisha