Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
Wellsaid mkuu jinsi hiyo issue ilivyokaa ni kweli jaji alijichanganya wakati wa majumuisho kosa alilopatikana nalo lema ni illegal campaign na siyo illiegal practice.
Mytake:Wakili wa Lema inabidi awasiliane na jaji iliaclarify kuwa huo mkanganyiko wa vifungu alikosea au lah! Lengo la magamba ilikuwa ni lema akate rufaa ambayo ingemuweza kuendelea kuwa mbunge kitu ambacho kingepeleke delidali na hukumu ingetoka mwakani na kama bado mahaka ya rufaa ingemtia lema hatiani jimbo la arusha lingebaki wazi mpaka 2015 coz sheria ya uchaguzi inasema kama jimbo litaachwa wazi miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu hakutakuwa na ujazwaji wa hiyo nafasi.
Wanasheria mtanirekebisha kama nimekosea.
Jamani huyo jaji ajajichanganya bali ndivyo alivyoelekezwa kufanya! huo ni mtego jamani angalieni kwa jicho la tatu! Nguza viking na wanae walikata rufaa mara ngapi??? na ilikuwaje! JK anakisasi kisichokuwa na mwisho na inaonyesha hatakufa ataanguka tu! so kukata rufaa hiyo ni mpaka 2015 na atakuwa katoka ndo rufaa itasikilizwa