Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Binafsi nafikiri kwa nchi kama yetu ingawaje ni kosa kisheria lkn pia siyo sawa kuwakamata na kuwafungulia mashitaka watu waliofanya hivi, kwa maana wengi wao hata hawaelewi kama wanafanya kosa!
Fikiria uende Mbugani huko Umasaini wao siku zote mtoto akishavunja Ungo basi yuko tayari kwa familia maana yake kuolewa hivyo basi hawajui kuhusu sheria za nchi ningeishauri Serikali badala ya kuwakamata hawa watu badala yake wawaelimishe kwamba ni kosa, wawape Elimu ya madhara ya kumwoza mtoto mdogo, hii itasaidia zaidi kwa maana wanaofanya hivi hawajui kingine zaidi hicho!
Fikiria uende Mbugani huko Umasaini wao siku zote mtoto akishavunja Ungo basi yuko tayari kwa familia maana yake kuolewa hivyo basi hawajui kuhusu sheria za nchi ningeishauri Serikali badala ya kuwakamata hawa watu badala yake wawaelimishe kwamba ni kosa, wawape Elimu ya madhara ya kumwoza mtoto mdogo, hii itasaidia zaidi kwa maana wanaofanya hivi hawajui kingine zaidi hicho!