kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Kwanını wasıkamatwa?
Ili kulinda heshima ya vazi tukufu la kiislam.
Kwanını wasıkamatwa?
Hakika hijab ya Bi.Fatuma imetuweka sawa juu ya upeo wetu wa kufikiria.Wajinga na werevu wanajidhihirisha kupitia kisanga hichi.Uchaguzi mdogo jimbo la igunga umenifungua macho na masikio na kuweza kutambua uelewa wa baadhi yetu, sijui kama ni makusudi au hisia tumeamua kuweka akili zetu pembeni. DC alituhumiwa na CHADEMA kwamba alikuwa anafanya mipango ya uchakachuaji. badala ya watu kuongelea tuhuma wanaongelea mavazi aliyovaa DC, hii inawezekana ni kutaka watu wasiongee ukweli ambao ni wizi wa kila uchaguzi unapofanyika na badala yake waongelee mavazi.
Kwa kuwa mavazi ya dini yanaonekana ni muhimu kuliko matendo ya mvaaji, napendekeza mwizi, fisadi, jambazi akiwa amevaa hijabu, kanzu au baraghashia asiguswe. Hata akionekana kwenye kamera za supermarket akificha bidhaa kwenye hijab asiguswe kabisa maana hilo ni vazi tukufu !!!
Nawakilisha wana JF
Katukio kadogo kamewapima uwezo wenu wakuwafikiria. Wote mnaokomaa kuhusu hii hijab ya mualifu nawafananisha na jibaba la miaka 50 alafu linalilia kuvalishwa pampers.Crap. Nenda kawaambie mbumbumbu wenzio uchafu wako huu! Kukamata mtu ndi kumdhalilisha na kutaka kumbaka?
Crap. Nenda kawaambie mbumbumbu wenzio uchafu wako huu! Kukamata mtu ndi kumdhalilisha na kutaka kumbaka?
Hilo vazi limeonyesha kuwa hata iwe mwizi, mlevi na mzinifu ukivaa Hilo vazi unaonekana we ni mtakatifu huwezi sumbuliwa watu Wa aina hiyo ni ruksa kuvaa hijabu linamsitiri mtu asionekane kuwa yu uchi.
Uchaguzi mdogo jimbo la igunga umenifungua macho na masikio na kuweza kutambua uelewa wa baadhi yetu, sijui kama ni makusudi au hisia tumeamua kuweka akili zetu pembeni. DC alituhumiwa na CHADEMA kwamba alikuwa anafanya mipango ya uchakachuaji. badala ya watu kuongelea tuhuma wanaongelea mavazi aliyovaa DC, hii inawezekana ni kutaka watu wasiongee ukweli ambao ni wizi wa kila uchaguzi unapofanyika na badala yake waongelee mavazi.
Kwa kuwa mavazi ya dini yanaonekana ni muhimu kuliko matendo ya mvaaji, napendekeza mwizi, fisadi, jambazi akiwa amevaa hijabu, kanzu au baraghashia asiguswe. Hata akionekana kwenye kamera za supermarket akificha bidhaa kwenye hijab asiguswe kabisa maana hilo ni vazi tukufu !!!
Nawakilisha wana JF[/QUOTE
lakini kumbuka kuwa maskini haibiwi kwa sababu moja tu hana, na ukimuona alalama kuwa kaibiwa chizi
Kwa hii picha - lazima niwa suport watu wa marekani.
Tuliza munkari bwana mdogo, jitahidi kumwelewa mleta srediCrap. Nenda kawaambie mbumbumbu wenzio uchafu wako huu! Kukamata mtu ndi kumdhalilisha na kutaka kumbaka?
Crap. Nenda kawaambie mbumbumbu wenzio uchafu wako huu! Kukamata mtu ndi kumdhalilisha na kutaka kumbaka? Jibu hoja! Usikimbile kuponda! Soma maada na ujibu siyo unamind tu!
Crap. Nenda kawaambie mbumbumbu wenzio uchafu wako huu! Kukamata mtu ndi kumdhalilisha na kutaka kumbaka?
Then this is rather a bullshit.! Real shit..hujajibu hoja ya mtoa mada hata moja, ni majazba tu yasiyo na msingi. Watu kibao wanabambwa supermarkets wakificha vitu kwenye hayo mnaita sijui gubigubi, acheni kutumia dini kuficha uozo wenu..
Mkuu umeonyesha ukomavu wako ktk masuala yanayoitatiza jamii yetu ..... Na sijui ni kutoelewa au ni kwa makusudi. (Big up)Nimeipenda sentensi yako hii. Kama hutamind naomba niiweke iwe signature yangu kwenye profile yangu ya JF, ila nitakuquote; "Kwa kuwa mavazi ya dini yanaonekana ni muhimu kuliko matendo ya mvaaji, napendekeza mwizi, fisadi, jambazi akiwa amevaa hijabu, kanzu au baraghashia asiguswe." Halafu haya mavazi ya kidini kama hijab au burka ni ishara tu za mfumo dume unaotumia dini kuzidi kuwatawala wanawake. Mimi ningekuwa na nafasi ya kisiasa ningepiga vita uvaaji wa alama zote za kidini kwenye public offices iwe ni rozari, au barghashia, au hijab;