Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Inabidi huu usimamizi wa maadili ya dini ufike hadi kule wadada poa wanakotumia vibaya hili vazi kuuza kuongeza market value ya miili yao. Otherwise tutajua ni usanii tu wa kisiasa na tutaendelea kuwala wadada. Udini wa JK ndio chanzo cha hizi propaganda lakini Mungu hapendi na hasira zake zitashuka oktoba 2