Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 2,327
- 3,339
Wapendwa wa jukwaa letu pendwa la JF, where we dare to talk openly; kutokana na kilichotokea kisutu na viunga vya Dar es salaam tarehe 24/04/2025, ambapo najua wasomi na wafatiliaji wa mambo humu JF mnajua Sina haja ya kuelezea.
Ila hii video kupitia link hii itasaidia kuelewa.
View: https://youtu.be/5GELdt1CWRk?si=lSkzN72GxS43W9mK
Mimi mzalendo Bhikalamba, napendekeza mwamba huyu ambaye picha yake inafuata ajengewe sanamu kubwa au mnara wa kumbukumbu kama shujaa wa TAIFA, mpinga dhulma na uonevu na aliye tayari kujitoa muhanga kutetea haki.
Habari kuhusu mwamba huyu katika picha waweza kuifatilia Kwa kutazama video kupitia link hii 👇👇
View: https://youtu.be/fR06L6NU5PM?si=qGlk9q9C47A02ZdM
Nisiwachoshe twende kazi.
Ila hii video kupitia link hii itasaidia kuelewa.
View: https://youtu.be/5GELdt1CWRk?si=lSkzN72GxS43W9mK
Mimi mzalendo Bhikalamba, napendekeza mwamba huyu ambaye picha yake inafuata ajengewe sanamu kubwa au mnara wa kumbukumbu kama shujaa wa TAIFA, mpinga dhulma na uonevu na aliye tayari kujitoa muhanga kutetea haki.
Habari kuhusu mwamba huyu katika picha waweza kuifatilia Kwa kutazama video kupitia link hii 👇👇
View: https://youtu.be/fR06L6NU5PM?si=qGlk9q9C47A02ZdM
Nisiwachoshe twende kazi.