G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Kiukweli kama tunahitaji usalama basi mkoa wa Kilimanjaro uwekwe lock down. Hali huko ni mbaya kuliko inavyoelezwa.
Serikali kama hamtachukua tahadhari mapema msije kusema hamkuambiwa. Wageni wanoingia na kutoka kila siku ndani ya mkoa huo na kusambaa mikoa mingine ni kiama kwa wengine. Imeshakuwa hivyo kuwa Kilimanjaro ina wimbi kubwa la maambukizi ya Covid 19.
Familia moja inapoteza watu kwa zamu na naona serikali imechukulia poa watu wanapita pita tu.
Sisi tumesema!
Serikali kama hamtachukua tahadhari mapema msije kusema hamkuambiwa. Wageni wanoingia na kutoka kila siku ndani ya mkoa huo na kusambaa mikoa mingine ni kiama kwa wengine. Imeshakuwa hivyo kuwa Kilimanjaro ina wimbi kubwa la maambukizi ya Covid 19.
Familia moja inapoteza watu kwa zamu na naona serikali imechukulia poa watu wanapita pita tu.
Sisi tumesema!