Mkuu Mchambawima ingependeza pia.Pia napendekeza mkoa mpya wa makunduchi
Naunga mkono hoja, itakuwa ni ishara nzuri ya kuthamini utumishi uliotukuka wa baba wa taifa letu adhimu la Tanzania.Napendekeza mkoa mpya wa Nzega. Pia Tabora boys alikosoma baba wa Taifa kiwe chuo kikuu.
Pia napendekeza mkoa mpya wa makunduchi

Na Dole namaanisha mkoa wa Dole😃😃Baaada ya mama,
Tujiandae na mkoa mpya wa MAKUNDUCHI kule visiwani